Wapi nipate power bank orginal?

Kama upo Geita chukuq Oraimo hapo stand ya chai bora Mwanza Oraimo ni bora maana kwa Bongo option nyingine zote utazokuta za Brand kubwa kama Samsung na Huawei zinakua ni copy na fake, kikubwa Oraimo utaikuta ina QR code ingia kwenye websites yao na Scan kama ni genuine au la.
 

Asante sana mkuu
 

Asante sana mkuu
 
Huu ni ukweli brands nyingine zote wanazotumia wabongo ni fake. Mpaka ununue kwa official dealer au mtu unayemjua vyema
 

Okay mkuu kupitia wewe nimewatafuta Instagram wapo Mwanza wananiambia power bank 27000mh kwa 85k sijui napigwa mkuu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…