Wapi nilipokosea

Watoto wote ni copy yangu hata wewe ukiwaona.Mtoto wangu wa kwanza nilikuwa na mawazo hayo kabla hajazaliwa lakini alipozaliwa sikuwa na haja ya kwenda kwenye DNA test kwani anafanana na mii sawasawa kabisa.Vyote unavyouliza anafanya.

sawa kaka, vp kuhusu mambo mengine ya kifamilia,kupanga mipango, mahusiano na ndugu na jami inayowazunguka?? Kama ni sex tu vry simpo. Mm nimewahi kuwa na dem ambaye alikuwa hajui chchte, yaani hata nikikojoa hawezi kunotice, stail 1 tu missnry, tena ya kubana miguu, nilichofanya nilimharass sana na kuonyesha wazi kuwa siridhiki na hali ile, na niliendesha mgomo baridi mwsho wa cku yy mwnyewe hakuamini anamudu staili 7 tena yuko flexible kama godoro, na anamudu hata bao 6, tena sometimez yy ndo anademand,, wanawake wanabadilishwa, ur a man, make changes jembeeee,, angalizo; usijaribu kumsaliti mkeo, utaighalimu family yako...
 
No man is hero to his wife..asipokuwa na tatizo hili ana lile
Sioni kosa lolote ulipoteleza.
 
Jamani hii njia ndio inaelekea jukwaa la spoti? Nataka kujua kama yanga wamesharudi kutoka uturuki?

wamerudi tokea juzi na isitoshe akilimali kasusa baada ya kuona wamevalia jezi nyekundu..
 
hapo kwenye red....kosa la kwanza...................



kosa la pili......afterall si ilijkuwa hujamtokea? kilichokufanya usikilize maneno ya watu ni nini? ulimuuliza muhusika ukiwa kama nani? mpenzi au "kaka mwalimu?"?



kilichokushtua cha ajabu ni nini?
kosa la tatu....."ubabba huruma" ulikuponza...



kosa la nne kugegedana bila kinga.............. anyway huyo mtoto ni wako? mbona kama "manyoya?"



hivi hili ni kosa la ngapi vileee?????????? umeoa kwa kuwa umependa au umeoa mimba?


Namshukuru Mungu hakuwa na maambukizi ya HIV hivyo wote tulikuwa salama ingawa nilijutia sana.Niliamua kumuoa ingawa lengo langu lilikuwa ni kuoa mke ambaye hajaguswa kwa kuhofia mwanangu kukosa mapenzi yangu pia kumtenda tena yule dada.


mke alotumika sana yukoje?
kuna aliyeacha alama hapo?
kiufupi huyo bi shosti aliolewa na wewe kwa sababu ya mimba....
usikute ilikuwa ya jamaa yake(nawaza tu usiende mbagua mtoto buuuuuuuuuuuure)
au ya kwako kwa vile kanasa akaona heri umuoe mlee mtoto(kwa sababu zile zile zilizopelekea wewe kuamua kumuoa....)
kwa vile hana hisia juu yako...
anajifosi
hata tendo la ndoa hainjoi ilhali wewe sasa ndo una mzuka(madhara ya kutokuaonja hata{usifuatishe maandiko yanakataza mwayego}).....

ushauri kwa sasa sina nitarudi baadae


 
mkuu come down hili swala linazungumzika na mwenzio punde utakapo ondoa - attitude juu yake
 

alafu kwa nini nyie makunga/somo ndoa zenu huwa zinayumba kama upepo? au ndo kwenye miti mingi hakuna wajenzi?
 
hahahahahah 20 na unakuta the gal is innocent ila wanaume ndio walimdangany ana akashindwa kujua yupi mkweli yupi mwongo basi akajikuta kaliwa wengi sio walipenda kutembea na hao wote ni wanaume waliwadanganya tu.

Mbona kama umeandika kihisia sana?
 
Hujakosea popote na wala si issue kuoa mwanamke unayemwita "used" lakini nadhani si neno jema hilo. La msingi ni kuongea naye juu na haja za moyo wako katika kutimiza agizo na kupeana (kutonyimana) lakini wakati huo huo mkiwa na kiasi. Mke ni wako na una uhuru wa kuongea naye ili atimize wajibu wake kwako. Ikibidi nawe badili approach yako ya kumwandaa hadi pointi ya mwisho (uwe na kiasi katika maandalizi).

Kuhusu kuwa mjamzito hilo kiukweli anakukatili (anakubania) au ni kwa kutojua au kwa makusudi kwani tendo la ndoa linaweza kuendelea hata hadi saa chache kabla ya kujifungua ilimradi halimletei maumivu au madhara kulingana na maoni ya daktari. Mimba si ugonjwa....
 
Jamaa yangu kama hutafuta USED na UNUSED katika akili yako itakuchukua muda mrefu kufaidi tunachofaidi tuliooa. Tena umeniudhi zaidi ulipofananisha magari Used na Unused kwa binadamu.....Mbona Toyota walitengeneza magari mapya yenye matatizo ya break. Tafadhali piga magoti kumwomba mungu msamaha kwani ulivuka mipaka ya kibinadamu na ndio maana umepata adhabu japo unadai ulikuwa UNUSED ila gari lako halina wese full kwenya mawe.
 
yaah papo ulipokosea, ondoa hilo wazo la kusema ur wife alikua used tena wth four men futa kabisa hilo mwanamke bikira orijino labda umuumbe mwenyewe ila feki zpo nyiiiingi

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 

ni wewe uliemtumia sana, mpaka apetite imeisha, kuzaa watoto watatu mchezo unadhani halafu bado upende mtalimbo kwa kasi ile ile kama ya kusaka mchumba,? acha ajipumzikie kimoja kitosha kabisa ingekuwa mimi ningekupa mara moja kwa mwezi lol
 
Sex is an art of love making...learn and practise!!
 

mkuu hata dini inapanda hongera!
 
Labda ulikuwa second option, yuko na wewe wakati anamuwaza Bakari?


Boy, grow up!

Hii kwangu alwayz ni point nzito zaidi ya nyingine..

Bolded part...........haijalishi una miaka 100 as long as u don't act like Man u'll stand to be a boy haswa masuala yanayowahusu hawa 'ndugu' zetu..!
 
hakuna demu mtamu kama changudoa!
 
Saikolojia yako imeathirika sana na kupata mke ambaye ni bikra, ndio maana matatiyo yako unataka kuyafanya kuwa mwanya wa kufikia lengo lako. Sijaona tatizo kubwa hapa linalokufanya ulalamike kwa kiasi cha kutoa historia ndefu kama hii. Unao uwezo wa kulitatua hili tatizo ila ile dhana ya Mke asiye bikra anamatatizo ndio inakutesa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…