Wapi New Kigamboni City?

Mkwanzania

JF-Expert Member
Apr 2, 2012
1,132
4,300
Waungwana habari zenu. Leo nimekaa nikawa napitia pitia makarabrasha mbalimbali ya mipango ya serikali nikakutana na hili la mji mpya wa Kigamboni. Katika pitia zangu nikaona jinsi ile master plan ilivyokuwa inavutia na kubarisha kabisa maisha na taswira ya jiji la Dar es Salaam.

Hapa naona mradi ulikuwa unaanza mwaka 2011 mpaka 2030 na ulikuwa unaendeshwa kwa awamu (phases). Kwa mujibu wa Master plan kwa sasa 2011-2020 ilikuwa ni phase ya kuendeleza miundombinu kwa ajili ya kuunganisha Dar es Salaam CBD na maeneo mengine. Maana yake ni kwamba sasa hivi Kigamboni ingekuwa imetapakaa barabara mpya za kisasa ili kurahisisha mobility ya mji mpya na Dar CBD.

Nakumbuka kipindi cha miaka kama minne nyuma jinsi hii project ilivyokuwa imeshika kasi na kupelekea kusababisha mivutano isiyokwisha baina ya Waziri wa Ardhi enzi zile Mama Tibaijukwa na Mbunge wa Kigamboni Mh Ndugulile. Lakini toka serikali mpya iingie Madarakani sioni dalili zozote za mradi huu wa aina yake kuendelea. Maswali yangu machache ni kwamba je mradi bado upo? Kama upo nini kinakwamisha huu mradi? Kama sio kipaumbele cha serikali mpya je ni nini kilikuwa nyuma ya pazia ya huu mradi?

Karibuni sana.
 
KIGAMBONI CITY IS HAPPENING AND PROGRESSING WELL. A LOT OF PROJECTS ARE MAKING KIGAMBONI CITY .

SEE THE PHOTOS .

1. INFRASTRUCTURE TO OPEN UP (NYERERE BRIDGE)

DSC_6786 by indaressalaam, on Flickr

Nyerere Bridge by indaressalaam, on Flickr

2. AVIC TOWN

avic_city_kigamboni_05.png


17883096_1499268623451486_5040628074475945984_n.jpg


avic_city_kigamboni_03.jpg



avic_city_kigamboni_02.jpg


3.DEGE ECO VILLAGE

infrstructer%2Bphoto.jpg


Dege%20april_zpsxgssiyrj.png


Image credit: Google Maps

dg3.jpg


IMGS9838.JPG


IMGS9850.JPG


IMGS9858.JPG


IMGS9888.JPG


IMGS9894.JPG


Source: MICHUZI BLOG: MKURUGENZI MKUU WA NSSF, PROF GODIUS KAHYARARA ATEMBELEA MIRADI YA UJENZI WA NYUMBA NA KUAGIZA AMBAO HAWAJAMALIZA MALIPO YA NYUMBA ZA MTONI KIJICHI KUMALIZA MALIPO NDANI YA MWEZI MMOJA

4. DUGU FARM

CHR4MHMWgAAJ024.jpg:large


CHR-YtgW8AATnP0.jpg:large


CHR7fKnWgAEsOu1.jpg:large


 
Totally down
Hiyo dege echo village kwa sasa ni makazi ya popo
Avic town chali
Wanajikongoja ni wale watumishi housing project
Hakuna ujenzi wa miundombinu wa maana unaoendelea
Barabara kuu inayokwenda mpaka buyuni imeongezwa mita 800 tu kwa miaka miwili
Usambazaji wa umeme ni wa kusuasua
Maji hakuna kabisa.
 
Totally down
Hiyo dege echo village kwa sasa ni makazi ya popo
Avic town chali
Wanajikongoja ni wale watumishi housing project
Hakuna ujenzi wa miundombinu wa maana unaoendelea
Barabara kuu inayokwenda mpaka buyuni imeongezwa mita 800 tu kwa miaka miwili
Usambazaji wa umeme ni wa kusuasua
Maji hakuna kabisa.
Tell me how can you be so sure!
I have come across s many blogs that have been informing of the Dege Eco Village. Despite the challenge that had been encountered for a while ago the project is going on.
 
Tell me how can you be so sure!
I have come across s many blogs that have been informing of the Dege Eco Village. Despite the challenge that had been encountered for a while ago the project is going on.
Let me help we can be sure coz we go there many times that dege eco village project you are talkin' bout has been shut down since last year
 
Project ilikua iko poa ile mbaya sema jiwe alivyoingia ndiyo kaisimamisha kasema mpaka uchunguzi upite kila kitu kimesimama ni shirika la nyumba pekee ndiyo wanajenga nyumba zao wapige bei
 
Let me help we can be sure coz we go there many times that dege eco village project you are talkin' bout has been shut down since last year
That is totally bad I wish that project could be going on it could bring another new and stylish picture of the city of Dar es salaam it was such a big mega project! catch me up on Kawe project I saw the proposed project of the Kawe city tell me on the progress.
 
Project ilikua iko poa ile mbaya sema jiwe alivyoingia ndiyo kaisimamisha kasema mpaka uchunguzi upite kila kitu kimesimama ni shirika la nyumba pekee ndiyo wanajenga nyumba zao wapige bei
Kwahiyo ndugu mpaka uchunguzi lakin mbona kila kitu kimeshagundulika CAG sialishatoa ripoti yote yakabainika, this project would not have to shut down hao wakubwa just gotta do something they must come to term on how to resume the project hiyo project iko mahali pake! it hella premium asikuambie mtu!
 
Back
Top Bottom