Wadau naamini zipo bidhaa nyingi hapa Tanzania tunaweza kuexport nje,
Ni wapi hasa naweza kupata taarifa sahihi za bidhaa gani zina hitajika nje na nchi gani? nilikuwa nahisi labda wizara ya mambo ya nje anakitengo hicho.
Au ndio lazima uende balozini unapodhani wanahitaji bidhaa fulani?
Ni wapi hasa naweza kupata taarifa sahihi za bidhaa gani zina hitajika nje na nchi gani? nilikuwa nahisi labda wizara ya mambo ya nje anakitengo hicho.
Au ndio lazima uende balozini unapodhani wanahitaji bidhaa fulani?