ngebo
JF-Expert Member
- Sep 8, 2017
- 1,679
- 2,105
Habari wazee, kuna majiko fulani yalikua maarufu sana miaka ya 2008 mwenyewe nilishawahi tumia home,nimejaribu kutafuta sahivi nimekosa, kwa mwenye kujua wapi naweza pata kwa Dar naomba anijulishe maana namba zao hazipatikani na hawana account social network yoyote.
Picha hiyo hapo chini
Sent using Jamii Forums mobile app
Picha hiyo hapo chini
Sent using Jamii Forums mobile app