Wapi naweza pata free .com domain name?

ndugu... Tatizo nimeongea na mahost wa bongo wanataka 15000/= Kwa mwezi, sasa huu si ulanguzi? Na hiyo 10$ Si kubwa ila payment method ndo imenizingua. Na utapeli mbele umekuwa mwingi

Kama 15,000 kwa mwezi inainclude hosting sio mbaya. Ila kwa vile ulisema hosting unayo basi fungua account ya PayPal lipia domain name mwenyewe (namecheap.com, http://www.dynadot.com) kisha unaweza kuielekeza domain hiyo kwenye website yako.
Pia kama hauna hosting na site yako haitegemei kuwa na traffic nyingi check https://www.nearlyfreespeech.net/ unalipia kutokana na matumizi kuanzia $0.25 kwa mwezi.
 
Thanks to Nyasiro kwa kunihelp na my new dot com domain now kaeni mkao wa kula
 
Kama 15,000 kwa mwezi inainclude hosting sio mbaya. Ila kwa vile ulisema hosting unayo basi fungua account ya PayPal lipia domain name mwenyewe (namecheap.com, http://www.dynadot.com) kisha unaweza kuielekeza domain hiyo kwenye website yako.
Pia kama hauna hosting na site yako haitegemei kuwa na traffic nyingi check https://www.nearlyfreespeech.net/ unalipia kutokana na matumizi kuanzia $0.25 kwa mwezi.

ahsante sana jomba, hapo naona hiyo link yakwanza ndo inanifaa. Maana siwezi kuanzisha website upya.
 
ila nikiipark hiyo domain na kuanza itumia si bado ile domain yangu ya zamani itaonekana? Ila si tatizo just a domain name ndo ninataka.
 
sasa e2themiza nimeenda kwenye hio website nimeona wanatoa domain only free for one year then unaanza kulipia.

Huoni kwamba jamaa wanataka upandishe rank hizo domain zao and then badae watazichukua? Imagine after a year website imekua maarufu wanakuambia dola 100 kurenew hela huna na website ina pagerank google kama 5 hivi utafanya nini

Then nkuulize kitu Wanakupa full control ya dns na cpanel? Or just jina tu?
 
sasa e2themiza nimeenda kwenye hio website nimeona wanatoa domain only free for one year then unaanza kulipia.

Huoni kwamba jamaa wanataka upandishe rank hizo domain zao and then badae watazichukua? Imagine after a year website imekua maarufu wanakuambia dola 100 kurenew hela huna na website ina pagerank google kama 5 hivi utafanya nini

Then nkuulize kitu Wanakupa full control ya dns na cpanel? Or just jina tu?

Mkuu ni kwl baada ya one year una anza kulipa lakini sidhani kama watakupandishia kiasi icho cause sijasikia hii na kuna watu wanatumia hii na sijapta kuona mtu kasema kuwa alidaiwa zadi baada ya one year kuisha (any way am not sure) na vile vile kama kwl site yako imepata mafanikio kiasi icho naamini hautaweza kukosa 100$ na vile mwaka mzima haujalipia kitu.., Kuhusu cpanel na full control ya dns hautapata ni ya buree so haya lazima ujue kuwa utayakosa na pia kama uko serious na unataka kuanzisha website ya biashara na ya maana ni bora ulipie.. lakini kwa sisi vilala hoi tunataka simple website kwa matumizi mbali mbali itatufaa kabisa coz unapta file manager, pia kuna full option za kuedit a complete website bila tatizo lolote.
 
za bure zipo mkuu, lakini kwanini bure?

Bure for one year zipo hilo sio tatizo, lakini kumbuka kuwa kwanza wao wanaicontrol domain hiyo hauna uwezo wa kuihamisha kokote so kivyoyote baada ya one year itabidi uilipie au upoteza domain name yako.

Hii sio idea nzuri kabisa, yaani kuokoa $10 unaweza kuhatarisha biashara yako yote, tena kwa vile unajaza info feki ni kwamba utaipoteza tu hiyo domain, hakuna umuhumi wa kuwa na domain name ya kweli kama utaipoteza baada ya mwaka mmoja.
 
sasa hapo kunatatizo moja tu. Dola 10 Kwa mwaka au tsh15000 kwa mwezi ipi bora?
 
na nani anayejua janja ya kujiunga na paypal. Bank gani inatoa hii card
 
15,000 kwa mwezi ni hosting na domain, $10 kwa mwaka ni domain peke yake.
Kuwa na website lazima uwe na vyote viwili, ila unaweza ukanunua domain kisha ukaielekeza kwenye free hosting yako, ila itakuwa haionekani professional so kwa mfano ukienda www.biasharayangu.com kisha unapelekwa freehosting123.com: The Best Search Links on the Net haileti picha nzuri.

nililiwaza hilo, ila host wangu ni mzuri na ninaweza access database yangu na FTP so naweza ihamishia kwenye new account ambayo nitaipa domain ya .com
 
Back
Top Bottom