Habari wana JF
Moja kwa moja kwenye mada. nimechoka kufanyia kazi nyumbani mimi ni frelancer nahitaji office space ukubwa km huu kwenye hii video maana wateja wangu wengi ni wa online. naomba km kuna mtu anaweza kuniunganisha na dalali au muhusika anaeweza kunisaidi. najua JF humu wadau wapo wengi ntapata msaada. Asanteni sana
Ukubwa wa ofisi km hii au izidi kidogo. location sehemu yoyote nzuri hapa dar es salaam mimi naishi morogoro road
Mawasiliano yangu 0759702766 whatsapp au call