Wapi naweza kupata office space km hii

Augustking

Senior Member
Joined
May 25, 2019
Posts
136
Reaction score
214
Habari wana JF

Moja kwa moja kwenye mada. nimechoka kufanyia kazi nyumbani mimi ni frelancer nahitaji office space ukubwa km huu kwenye hii video maana wateja wangu wengi ni wa online. naomba km kuna mtu anaweza kuniunganisha na dalali au muhusika anaeweza kunisaidi. najua JF humu wadau wapo wengi ntapata msaada. Asanteni sana

Ukubwa wa ofisi km hii au izidi kidogo. location sehemu yoyote nzuri hapa dar es salaam mimi naishi morogoro road

Mawasiliano yangu 0759702766 whatsapp au call
 

Attachments

  • WhatsApp Video 2025-06-12 at 15.06.59.mp4
    5.8 MB
Kaspace mbona kadogo sana mkuu
Kanatosha haka mkuu ni mimi na pc tu hawa jamaa waniambia bei yao ni laki 5 kwa mwezi kisa ghorofa la kisasa floor ya 20. mimi nahitaji kitu local tu cha kawaida hata iwe ya chini kwa bei ya kizawa
 
Kanatosha haka mkuu ni mimi na pc tu hawa jamaa waniambia bei yao ni laki 5 kwa mwezi kisa ghorofa la kisasa floor ya 20. mimi nahitaji kitu local tu cha kawaida hata iwe ya chini kwa bei ya kizawa
Unataka ofisi iwe mitaa gani
 
Nafasi ndogo kama ofisi za madaktari wa Kairuki πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Isije ikawa ofisi ya ushauri wa Kisaikolojia , Mtu akiwa na Bipolar hapo akakuba unatokea wapi mkuu πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…