hata tipper 5 ukitaka unapataMimi hata ikipatikana ya kujaza tipper fresh.
Yeah kwa kiasi kikubwa Udogo wa Dar ulioko sight haufai ndiyo maana nataka niubalishe kwa kuweka mbolea nyingi nimegundua naweza kupanda miche ya matunda na mboga mboga
Mi nnayo ya kutoshaa but ni nje ya dar kidogo(kongowe)....kesho ntatembelea ukiwa ready ntakwambia kiasi gan inapatkanaYeah kwa kiasi kikubwa Udogo wa Dar ulioko sight haufai ndiyo maana nataka niubalishe kwa kuweka mbolea nyingi nimegundua naweza kupanda miche ya matunda na mboga mboga
Vcccccm mwenzio huyo unayemkosoa
Elimu ya kuungaunga ya vcccccm eti sight