Wapi naweza kupata Mbolea ya Ng’ombe ya Kutosha Dar es Salaam?

Wapi naweza kupata Mbolea ya Ng’ombe ya Kutosha Dar es Salaam?

Yeah kwa kiasi kikubwa Udogo wa Dar ulioko sight haufai ndiyo maana nataka niubalishe kwa kuweka mbolea nyingi nimegundua naweza kupanda miche ya matunda na mboga mboga
Mi nnayo ya kutoshaa but ni nje ya dar kidogo(kongowe)....kesho ntatembelea ukiwa ready ntakwambia kiasi gan inapatkana
 
Back
Top Bottom