Wapi naweza kupata matokeo ya kidato cha NNE 2001

Wapi naweza kupata matokeo ya kidato cha NNE 2001

K
Nikipomaliza kidato cha nne sikua nimelipa ada ya mtihani hivyo basi matokeo yalipotoka ya kwangu sikuyaona.nimefatilia wakaniambia matokeo yakikaa miaka miwili bila kulipiwa yanafutwa mtandaoni. Sasa naomba msaada wenu wana JF kwa yoyote alienayo anisaidie
Kwa nyongeza matokeo ya miaka ya nyuma mtandaoni utaipata kupitia
Exam results -maktaba -by TETEA
Hapa utapata matokeo ya miaka ya nyuma
 
Sasa mkubwa cha ajabu nilipoenda shuleni wakaniambia baraza wanakaa na matikeo ya mtu amabae hajalipia kwa miaka miwili tu zaidi ya hapo wanafuta matokeo kuanzia mtandaoni mpk barazani.kwakweli niko njia panda nahitaji msaada wenu wana JF niweze kupata matokeo yangu na cheti pia

Sent from my N9100 using JamiiForums mobile app
 
Sasa mkubwa cha ajabu nilipoenda shuleni wakaniambia baraza wanakaa na matikeo ya mtu amabae hajalipia kwa miaka miwili tu zaidi ya hapo wanafuta matokeo kuanzia mtandaoni mpk barazani.kwakweli niko njia panda nahitaji msaada wenu wana JF niweze kupata matokeo yangu na cheti pia

Sent from my N9100 using JamiiForums mobile app
Nakushauri nenda pale baraza utapewa majibu sahihi
Pole Sana
 
nenda maktaba ya taifa hata kama ulimaliza miaka ya kina nyerere matokeo utayapata
 
Tangu 2001 ulikuwa unatumia matokeo gani?
Wasiliana na NECTA, utapata matokeo yako.
 
matokeo kuanzia 1998 unayapata ila chini ya hapo ndo sina imani kama yanapatikana!
 
Nikipomaliza kidato cha nne sikua nimelipa ada ya mtihani hivyo basi matokeo yalipotoka ya kwangu sikuyaona.nimefatilia wakaniambia matokeo yakikaa miaka miwili bila kulipiwa yanafutwa mtandaoni. Sasa naomba msaada wenu wana JF kwa yoyote alienayo anisaidie
Nenda Maktaba ya Taifa
 
Nakumbuka bashite alimaliza shule mwaka huohuo.
 
Nina wasiwasi Kama utakua umefaulu, necta 2001 miaka yote huoni umuhimu wa kupata matokeo yako? Tafuta matokeo ya mwaka wako shuleni uliposoma au baraza, angalia idadi ya div 1 mpka 0, kama div 1 zimeandika 5 anza kuhesabu kwa jina moja moja ukikuta zpo 4 manake ilobaki ni yako, kalipe Ada ya necta na faini zao wakupe matokeo ila ukiona zero zipo 20 na ukihesabu kwa jina moja moja unazipata 19 ujue moja matokeo yameshikiliwa possibly ni yako
 
Back
Top Bottom