Una maanisha large format printer?Habari wadau...
Nashida na mashine ya kuprint mabango, msaada tafadhali.
Nipigie 0788643144 niambie unataka ya ukubwa gani. Zipo Kuanzia 1.6m 1.8m 2.5m na 3.2m machine zipo za kutosha. Utapewa na 1 roll of sticker for testing.Habari wadau...
Nashida na mashine ya kuprint mabango, msaada tafadhali.
Hapana hana haja ya kwenda china tunazo hapa hapa Tanzania, free installation, training, and starting material.Hizo mashine hazipatikani kirahisi rahisi. Mara nyingi ni hadi uagize China.
Sio lazima aende. Anaagiza.Hapana hana haja ya kwenda china tunazo hapa hapa Tanzania, free installation, training, and starting material.
unapatikana wapi mkuu hapa tzNipigie 0788643144 niambie unataka ya ukubwa gani. Zipo Kuanzia 1.6m 1.8m 2.5m na 3.2m machine zipo za kutosha. Utapewa na 1 roll of sticker for testing.
Material pia za printing zipo.
Dar + Mbeyaunapatikana wapi mkuu hapa tz
Mkuu mkuuNashauri kabla ya Kuagiza au kutaka mashine pitia kwanza Jinsi Mabango yanavyokuwa Printed there are more than one way to skin a Cat....
Mabango kama ni chuma katikati kuna carpet basi any wide format itaprint alafu inafungwa kwenye chuma...., Mabango makubwa zaidi unaweza ukaprint ukubwa wa A0 au A2 alafu unabandika kwa gundi kwenye background...
Narudia tena kwanza pitia the HOW ukishajua utanunua accordingly.....
Vilevile kama Soko unalo kubwa nakushauri sio lazima ununue mashine unaweza ukawa una outsource printing wewe unakwenda kufanya installation (amini nakwambia kwa njia hii huenda ukapata faida zaidi with less costs)