Wapi naweza kupata karatasi za A4?

Wapi naweza kupata karatasi za A4?

Mr Equalizer

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2013
Posts
611
Reaction score
727
Wakuu salaam,

Natarajia kuanza biashara ya kuuza Rim, hasa zile za A4, huku mikoani zinasumbua kidogo. Naomba anayefahamu wapi karatasi hizi zinauzwa kwa bei nafuu aniambie hasa DAR.

Asanteni.
 
Wakuu salaam,
Natarajia kuanza biashara ya kuuza limu , hasa zile za A4 , huku mikoani zinasumbua kidogo.

Naomba anayefahamu wapi karatasi hizi zinauzwa kwa bei nafuu aniambie hasa DAR
Asanteni.
Mkuu Nenda Kariakoo Kuna Mtaa Unaitwa Agrey Nahisi Hapo Kuna Maduka Kibao ya hizo karatasi utakuta wengine wanachukua kwa Fuso hapo kwenda Mikoani jina la Mtaa Sijakariri ila pale Mtaa wa Uhuru kwenye ile barabara wanayouza Laptop we Kunja Upande wa Kulia utakutana na Maduka hayo Mengi sana.
 
Mkuu Nenda Kariakoo Kuna Mtaa Unaitwa Agrey Nahisi Hapo Kuna Maduka Kibao ya hizo karatasi utakuta wengine wanachukua kwa Fuso hapo kwenda Mikoani jina la Mtaa Sijakariri ila pale Mtaa wa Uhuru kwenye ile barabara wanayouza Laptop we Kunja Upande wa Kulia utakutana na Maduka hayo Mengi sana.
Asante sana mkuu
 
Mkuu Nenda Kariakoo Kuna Mtaa Unaitwa livingstone Nahisi Hapo Kuna Maduka Kibao ya hizo karatasi utakuta wengine wanachukua kwa Fuso hapo kwenda Mikoani jina la Mtaa Sijakariri ila pale Mtaa wa Uhuru kwenye ile barabara wanayouza Laptop we Kunja Upande wa Kulia utakutana na Maduka hayo Mengi sana.

IMG_20170518_202251_441.jpg
 
Hata Mimi nahitaji kufanya biashara ya laptop na IT accessories kwa yeyote anayejua mahali ambapo naweza pata kwa bei rahisi kwa dar.
 
  • Thanks
Reactions: Paw
Mkuu Nenda Kariakoo Kuna Mtaa Unaitwa Agrey Nahisi Hapo Kuna Maduka Kibao ya hizo karatasi utakuta wengine wanachukua kwa Fuso hapo kwenda Mikoani jina la Mtaa Sijakariri ila pale Mtaa wa Uhuru kwenye ile barabara wanayouza Laptop we Kunja Upande wa Kulia utakutana na Maduka hayo Mengi sana.
Mtaa wa Kipata na Sikukuu. Kuna maduka ya stationery kwa JUMLA.
 
Mkuu Nenda Kariakoo Kuna Mtaa Unaitwa Agrey Nahisi Hapo Kuna Maduka Kibao ya hizo karatasi utakuta wengine wanachukua kwa Fuso hapo kwenda Mikoani jina la Mtaa Sijakariri ila pale Mtaa wa Uhuru kwenye ile barabara wanayouza Laptop we Kunja Upande wa Kulia utakutana na Maduka hayo Mengi sana.
huo ni mtaa kongo na uhuru au direction nzuri mtaa kongo na kipata aende hapo ndo mwisho wa matatizo agrey atauziwa bei juu

ukija dar tafuta MTAA KONGO NA UHURU pandisha juu kama unaenda mtaa KIPATA hapo ndo mwisho matakataka yote ya stationary bei poa sanaa pamoja na hizo RIM
 
Wakuu salaam,
Natarajia kuanza biashara ya kuuza limu , hasa zile za A4 , huku mikoani zinasumbua kidogo.

Naomba anayefahamu wapi karatasi hizi zinauzwa kwa bei nafuu aniambie hasa DAR
Asanteni.
ni pm kaka niko msambazi na lindi.nitakupa msaada kwa wauzaji wa jumla. yaani mzigo wa store
 
huo ni mtaa kongo na uhuru au direction nzuri mtaa kongo na kipata aende hapo ndo mwisho wa matatizo agrey atauziwa bei juu

ukija dar tafuta MTAA KONGO NA UHURU pandisha juu kama unaenda mtaa KIPATA hapo ndo mwisho matakataka yote ya stationary bei poa sanaa pamoja na hizo RIM
Pamoja sana dada yangu, nitakuja town siyo mda mrefu nichukue mzigo.
 
huo ni mtaa kongo na uhuru au direction nzuri mtaa kongo na kipata aende hapo ndo mwisho wa matatizo agrey atauziwa bei juu

ukija dar tafuta MTAA KONGO NA UHURU pandisha juu kama unaenda mtaa KIPATA hapo ndo mwisho matakataka yote ya stationary bei poa sanaa pamoja na hizo RIM
Yaaa baada ya kuona siyo Agrey nikamletea hiyo Ramani
 
Asante kwa muuliza swali na wote mliomjibu, imetufaa wengi, naomba niulizwe bei ya jumla ni kuanzia rim ngapi na ni shilingi ngapi?
 
Wakuu msaada nahitaji hizo A4 zilizotumika bei yake inaweza fika sh ngP?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom