Boniphace Kichonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,606
- 1,956
Wadai.
Naambiwa huku mtaani baadhi ya Watanzania wamekuwa wabunifu Sana!
Wameanza kutengeneza kinywaji hicho chenye Heshima na hadhi kubwa kwa njia za kienyeji.
Kwa Wazoefu hebu tupeni taarifa sahihi kuhusu uvumi huu.
Ni Wapi tutapata kinywaji halisi na pia Ni jinsi gani ya kutambua halisi.
Hadhi yenu nyinyi mathird world dwellers ni gongo tu, acheni kushadadadia vitu vilivyo nje ya uwezo wenuduh wameanza tena kutunywesha gongo baadala ya kitu cha tennesee..
Third world dweller bana kwa mbwembwe tu.Kuna kinywaji ukinywa hata kiingereza kinanyoka kama native, hizi zingine unajikuta ni broken tu.
Hadhi yenu nyinyi mathird world dwellers ni gongo tu, acheni kushadadadia vitu vilivyo nje ya uwezo wenu
Mkuu punguza kuparamia na kushindilia viporo vya kande iliyochacha.tunaishi third world lakini tunauwezo wa kukuajiri na kukulipa mshahara unaolipwa huko first world, tunaishi third world lakini tunauwezo wa kuimport mpaka hao mademu wa first world wakaja hapa wakaishi kama wako first world na papuchi wakatoa day and night..
Nilinunua hapo sijui buku 30 sijui40 mbona ilikuwa poa labda kwa vile mimi siyo mlevi kihivyo.ebu jaribu kutembea hapa game ya mlima city...hutojutia kwakweli...!
Kuna sehemu amesema anashida ya kazi? Hakuna kitu mibaya kama dharau kwa usiye mfahamu. Sidhani kama ni lazima ku-reply kila mada.Mkuu punguza kuparamia na kushindilia viporo vya kande iliyochacha.
Unajua JD original wewee? Cocktails unazifaham wewe?
Third world dwellers bana?
Fanyeni kazi!
hapo tuna uza vitu kutoka kiwandani moja kwa moja....!Nilinunua hapo sijui buku 30 sijui40 mbona ilikuwa poa labda kwa vile mimi siyo mlevi kihivyo.
Punguza dharau mkuu,third world third world so fuckin wot.Mkuu punguza kuparamia na kushindilia viporo vya kande iliyochacha.
Unajua JD original wewee? Cocktails unazifaham wewe?
Third world dwellers bana?
Fanyeni kazi!
Dogo jikite kwenye mada iliyopo jamvini acha porojo.Kuna sehemu amesema anashida ya kazi? Hakuna kitu mibaya kama dharau kwa usiye mfahamu. Sidhani kama ni lazima ku-reply kila mada.