Salaam, mimi ninayoi mpya, original s3 kutoka Marekani ipo na box yake, haijawahi kutumiwa hata siku moja, ni unlocked nitakuuzia kwa be ya $400 tuu, ukiwa upo serious inawezwa kufikishwa mpaka chuo cha ufundi Arusha.
ni duka gani ARUSHA naweza kupata/kununua SAmsung galaxy s3 au s4 MPYA na original, na bei yake ni kama sh ngapi?
Mwenye kufahamu naomba unijulishe tafadhali.[/QUOTE]