wakuu naomba wanaofahamu vituo vya wahitaji ambapo naweza kugawa nguo kwao kwa wakati mmoja. Najua kuna maeneo kama makanisani ambapo naweza kupeleka, lakini nilikuwa nahitaji sehemu ambayo naweza wakuta katika eno moja au kituo cha wahitaji.
Mimi ni KE na nguo nazotaka kugawa ni za kike, na niseme tu sio mpya ila ni nguo zangu nyingi ambazo kwakweli sizivai na kuendeea kukaa nazo wakati kuna wahitaji naona kama ni dhambi. Najua vituo vya watoto ni rahisi kuvipata, ila hizi nazotaka kugawa ni za watu wazima.
Asante
Mimi ni KE na nguo nazotaka kugawa ni za kike, na niseme tu sio mpya ila ni nguo zangu nyingi ambazo kwakweli sizivai na kuendeea kukaa nazo wakati kuna wahitaji naona kama ni dhambi. Najua vituo vya watoto ni rahisi kuvipata, ila hizi nazotaka kugawa ni za watu wazima.
Asante