Wapi nakosea?


Green apple, I salute you!
 
Ni kweli kabisa kabisa!tena kwa kumjali na kumuona ndo mungu anazidi kukufungulia milango ya baraka

Its true Andishile, nimeeka nia ya kwenda kumuona!
 
Pole sana wapo wengii mno wababa hivyo na Mungu huwapa joto la jiweee! !
 

Mkuu Mchepuko nimekuelewa! Na najitahidi sana nisijiweke ktk nafasi ya kumhukumu mtu yeyote kuanzia yeyey wala jamaa zake!
 
Ennie umeingia ktk moyo wangu! Napata tabu sana ku-define huu msamiati "Mzazi"

Ni ngumu lakini ndio mzazi tu.
Msaidie kadri utakavyojaaliwa
Wapuuze hao wanaokulaumu kuwa hujitoi inavyopasa.
Wangekuwa washauri sana wangeanza na ndugu yao alipowatelekeza hapo kabla.
 

So sorry KAMWENDO! kwa kuwa umeshaikubali hali halisi, naamini utafika mbali, mbele zaidi! Maisha yanakutaka uangalie unapokwenda zaidi!
 
Hiyo kumtumia tu mpesa,tigo pesa etc umeonesha kujali sana,sema ppo do differ according to ur story mm nisingetaka ata kumtia machoni hakyamungu tena.
 
Ni ngumu lakini ndio mzazi tu.
Msaidie kadri utakavyojaaliwa
Wapuuze hao wanaokulaumu kuwa hujitoi inavyopasa.
Wangekuwa washauri sana wangeanza na ndugu yao alipowatelekeza hapo kabla.

Kweli Ennie! Tumeumbwa tofauti sana!
 
Hiyo kumtumia tu mpesa,tigo pesa etc umeonesha kujali sana,sema ppo do differ according to ur story mm nisingetaka ata kumtia machoni hakyamungu tena.

Anne nimekuelewa! Kuna wakati akili na moyo vinashindana, basi yakupasa kujiweka kati kati!
 
pole sana..ur the.hero u.came from zero to hero..msaidie kadri uwezavyo..baba ni mmoja tu duniani huwezjua nani alikua na kosa kati yake na mama..wewe mpende na mhudumie kadri uwezavyo..isimnyanyapae

Ameline nimekuelewa vzr sana, lkn angalizo ni kuwa hata kama baba na mama walitofautiana, na hata kama mama alimkosea, kwa kosa kubwa lolote liwalo, bado sisi hatukupaswa kuadhibiwa! [alichofanya baba hapa naamini ni punishment] na hapa ndio nataka wababa wenzangu tujifunze kitu! Ameline believe me, my late brother was so bright, lkn it pains mwisho wake ulikuwa vile nilivoona, najua kuna mahali baba alikosea, ni mungu tu, mm kusimama na kurudi ktk the right path!
 
Pole kwa yote kaka. Kusamehe ni wajibu wa muamini. Bahati mbaya sio mara zote utapata kuombwa msamaha na yule aliyekukosea ila unapata thawabu zaidi kama ukisamehe bila kuombwa na msamaha. Samehe maisha yaliyopita, samehe kifo cha mama, samehe kifo cha kaka yako na pia umsamehe baba yako na yote aliyofanya na ambayo hakuyafanya kipindi unakua. Yaani amini kuwa uliweza kupita yooote kwasababu Mungu alisimama nawewe na yote ilikuwa ni mipango yake.

So what happens now is totally up to you! Mungu amekupa pande zote mbili za maisha katika kipindi kifupi. Sasa una familia yako mpya inayokupenda na kukujali; unaamua kuishi maisha ya zamani (chuki kwa baba) au mapya ya upendo?
 
Mmh huruma hii jaman kwa kweli mungu ni mwema kila siku endelea kumuombea kwa mwenyez mungu aweze kupona lakin pia ni vizur ukaenda kumuona mmalize tofauti uishi kwa aman ya moyo.
jaman mzazi ni mzazi tu hakuna jinsi

Nakuelewa Manka, najaribu kushinda mvutano kati ya moyo na akili ya kawaida ya kibinadamu!
 

Sina chuki nae, lkn pia sina mapenzi na yeye!
 
Unaitaji kuingia mbingun???basi samehe kama unavyosamehewa na MOLA....shukuru uemda.baba amgefanya yote hata iyo.post usingeipataa....panguzaa vumbi tazama mbele...icho ni kipimo.cha wokovu wako...iyo ndio dini saf ya kwend pepo..samehee daima na kusahau..Dear mama by tupac inakufaa...ila samehe
 

unajua sio kwamba baba kafanya iki au baba akuwepo..wanasema ivi UPENDO.USITIRI WINGI WA DHAMBI AU UOVU...SASA TUSITIRI UOVU WA BABA KWA UPENDO....UPENDO NDIO UTAFANYA MAMBO YARUDI NA.YAWE SAFI...KATK MAISHA YAKO YA FAMILIA YAKO KWA UJUMLA
 
Big up kaka umepitia maisha magumu mno bt nakushaur msaidie baba yako kwan utazid kupata baraka kwa Mungu.
 
Mkuu upo sahihi kabisa, nimekudondoshea like
 

Chief MP nashukuru sana kwa nasaha zako! Sikuwahi kuisema hii kabla popote pale, lkn niliweka nia kuwa ipo siku nitaiweka jamvini ili iwe somo kwa wanajamii wengine, kuna aina ya makosa tunaweza kuyaepuka, dunia hii ni duara, na hakunaga mwisho mzuri kwa kila muendekeza anasa za dunia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…