E eddiejohnie Member Jan 3, 2011 7 3 Jan 13, 2012 #1 ...ilikuwa kila rap ya Twanga Pepeta jina lake linatajwa,ila sijui kapotelea wapi siku hizi!!
Tusker Bariiiidi JF-Expert Member Jul 3, 2007 5,520 2,091 Jan 13, 2012 #4 Hivi yupo wapi cku hizi...???
Michael Amon JF-Expert Member Dec 22, 2008 8,775 3,610 Jan 13, 2012 #5 hata mimi sielewi. Hivi tuambieni wana Jf kuna yoyote mwenye stori za huyu mama?
Mzimu wa Kolelo JF-Expert Member Apr 16, 2013 2,493 7,206 Oct 4, 2016 #6 yuko wapi huyu mdau wa twanga
Frank Wanjiru JF-Expert Member Apr 12, 2012 21,838 38,729 Oct 6, 2016 #8 Alikuwa wa kawaida sana sema tuu alikuwa jasiri kujitokeza hadharani na kufanya hiyo kazi maana kuna vitu vya ukweli vilikuwa mitaani vimetulia.
Alikuwa wa kawaida sana sema tuu alikuwa jasiri kujitokeza hadharani na kufanya hiyo kazi maana kuna vitu vya ukweli vilikuwa mitaani vimetulia.