Wapi kuna taarab leo Jumatano?

Kigodoro kimelowa maji wapambe mtalala wapi
 
Hata wikendi haijafika mnajirusha,,,,,!!
Totoz ndo zinapeleka watu huko kwenye rusha roho na mipasho wewe unafikiri wanafuata starehe ya mwambao?! la hasha, yaani ni totozi kwa kwenda mbele huko kwa ninavyosikia au ngoja niwe muwazi tu kifupi ufuska

Kwahyo usishangae mkuu anaenda tafuta mrembo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…