Wapi intellijensia ya Dr Slaa?

Wapi intellijensia ya Dr Slaa?

HAMY-D

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2011
Posts
7,146
Reaction score
3,829
Dr Slaa uwa ana jitapa kuwa CHADEMA ina intellijensia kubwa, hivyo uwa wana baini mipango mbalimbali yenye lengo la kuidhuru CHADEMA.

Intellijensia hiyo ya Dr Slaa ina daiwa kuwa na matawi yake sehemu mbalimbali, yaani serikalini, ndani ya CCM na kwenye mashirika mbalimbali ya umma.

Lakini pia ana jitapa kuwa kuna maofisa usalama wa taifa (TISS) ambao uwa wana ripoti kwake na kumpa taarifa mbalimbali juu mwenendo wa serikali.

Sasa iweje Dr Slaa awe na intellijensia kubwa namna hii halafu kwenye mikutano ya chama chake yatokee matukio ya mlipuko?
 
Hivi unashindwa kuwa na ubinadamu hata chembe? ipo siku utayajibu haya kwa muumba wako, na kifo hakina upendeleo wewe ni Marehemu mtalajiwa Mungu ndio anajuwa utakufa kwa style ipi. endeleza kejeri nyuma ya keyboard siku yako itafika tu.
 
Hivi unashindwa kuwa na ubinadamu hata chembe? ipo siku utayajibu haya kwa muumba wako, na kifo hakina upendeleo wewe ni Marehemu mtalajiwa Mungu ndio anajuwa utakufa kwa style ipi. endeleza kejeri nyuma ya keyboard siku yako itafika tu.

Hapa sijengi kejeli, kuna hoja nzito ndani ya hayo maelezo imejificha, na siwezi kuiweka wazi kwani najua impact yake, lakini kwa watu makini wataelewa ni hoja gani ipo ndani ya huu uzi.
 
itakuwa busara Dr. slaa naye akatize safari yake na arudi nyumbani haraka. Je, yawezekana?
tunsikia rais JK anarudi kuhakikisha usalama wa raia zake na kilo cha wananchi....!

La Ajabu waarabu hawajakamtwa hadi sasa. nchi hii Laana za kisiasa zimeshimiri !!
 
Kwani hukusikia tamko la Benson Kigaila, wewe endelea kushangilia lakini serikali na vyama dhalimu vyote havina mwisho mwema. Jambo la pili mnadhani mnawakomoa CHADEMA, mjue kwamba tayari hao wawekezaji wenu na hao MABWENYENYE mnaowauzia nchi yetu na huo ugeni wa Obama baadhi yao wako nchini tayari mnatuchafulia jina jema la nchi yetu kwa ku entertain UFISADI, UUAJI WA WATU, UUAJI WA TEMBO, UDINI na machafu yote myafanyao. Sasa mnatupandisha hasiran na chuki dhidi ya CCM na serikali yake kwa kuhusika moja kwa moja na pili kwa kushindwa kuchukua hatua dhidi ya uchafu na uovu huu mkuu.
 
Hapa sijengi kejeli, kuna hoja nzito ndani ya hayo maelezo imejificha, na siwezi kuiweka wazi kwani najua impact yake, lakini kwa watu makini wataelewa ni hoja gani ipo ndani ya huu uzi.
Kila nafsi itaonja umauti na kuna Judgement day, na kila mtu atavuna alichopanda hapa Duniani, Dr Slaa na wewe wote kila mtu atahukumiwa kwa yake, wewe endelea kukejeri roho za wapendwa wa watu zilizokatizwa maisha yao.

Mmeshauwa Tembo wote mmewamaliza sasa mnataka roho za binadamu!! haya twende tu.
 
Hapa sijengi kejeli, kuna hoja nzito ndani ya hayo maelezo imejificha, na siwezi kuiweka wazi kwani najua impact yake, lakini kwa watu makini wataelewa ni hoja gani ipo ndani ya huu uzi.

Siasa zako hazina tofauti na za @Nape na Mwigulu Nchemba.

Mmezoea kutoa roho za watu kwa maslai yenu binafsi ila nakuambia damu zao hazitopotea bure. Kila mfanyalo hapa duniani kumbukeni kuna watu wema wanayaona na muda si mrefu yatajulikana na kuwekwa wazi.

Hakuna mtu apendae kuonewa ikiwa anayo nguvu ya kujitete.
 
Chadema iko makini ndg.wahusika watatajwa hadharani muda c mrefu,kuna tetesi kuwa tukio hili limepangwa na genge la watu 8 wakiwewo mkuu wa mkoa wa arusha na mwigulu nchemba.
 
Mungu na akulipe kwa furaha uliyoonyesha kwa vifo vya watu wasio na hatia.

Umekosa ubinadamu na sasa umegeuka kuwa mnyama.
 
Mungu na akulipe kwa furaha uliyoonyesha kwa vifo vya watu wasio na hatia.

Umekosa ubinadamu na sasa umegeuka kuwa mnyama.

Molemo,

Hayo masikitiko yako hata mimi ninayo, hakuna binadamu mwenye hofu na Mungu ambae amependezwa ama kufurahishwa na lile tukio.

Lakini hiyo inanipa nguvu ya kuhoji juu ya maneno ambayo Dr Slaa uwa anayatoa, mara kwa mara ana jivuna kuwa na intellijensia, sasa kama ipo mbona tukio la kinyama limetokea kwenye mkutano wa CHADEMA?

Mkuu, hapa kuna hoja nzito sema wewe umekombatia itikadi, kwa hali hiyo hutakuwa huru kutoa mawazo ambayo yana mlengo wa kati.
 
Last edited by a moderator:
Hapa sijengi kejeli, kuna hoja nzito ndani ya hayo maelezo imejificha, na siwezi kuiweka wazi kwani najua impact yake, lakini kwa watu makini wataelewa ni hoja gani ipo ndani ya huu uzi.

UTAKUWA na tatizo lisilotibika maana katika hali kama hii haikutegemewa ulete UPUMBAVU wa namna hii..
Hta hivyo,NINGALIKUWA POLISI wa nchi hii NINGALIKUTIA nguvuni ili uisaidie POLISI kwa sababu MADA yako inaonesha mipango ya kulipuliwa bomu ilikuhusisha ILI TU UONESHE KWAMBA INTELIJENSIA YA DR. SLAA haiwezi kazi NDIYO MAANA MMEWEZA KULIPUA BOMU; na kama haiwezi kazi, IONEKANE YEYE NI MPUUZI na si yeye tu bali CHADEMA kama chama!
Si ndicho unachokilenga??????????
 
Dr Slaa uwa ana jitapa kuwa CHADEMA ina intellijensia kubwa, hivyo uwa wana baini mipango mbalimbali yenye lengo la kuidhuru CHADEMA.

Intellijensia hiyo ya Dr Slaa ina daiwa kuwa na matawi yake sehemu mbalimbali, yaani serikalini, ndani ya CCM na kwenye mashirika mbalimbali ya umma.

Lakini pia ana jitapa kuwa kuna maofisa usalama wa taifa (TISS) ambao uwa wana ripoti kwake na kumpa taarifa mbalimbali juu mwenendo wa serikali.

Sasa iweje Dr Slaa awe na intellijensia kubwa namna hii halafu kwenye mikutano ya chama chake yatokee matukio ya mlipuko?
Matukio ya kwenye mikutano yake anapanga yeye na kundi lake la waharifu.
 
Unamatatizo ya kufikiri.. Unasahau kuwa Marekani ndiyo pekee yenye intelligensia ya kutisha lakini OSAMA alifanya yakwake akalipua na intelligensia ilikuwepo. Hivyo hivyo hatushangai kuona CCM inajipenyeza kama Osama na kufanya haya mauaji na vurugu za kuliaibisha taifa letu. "MUNGU ATALIPA"
 
nategemea Dr akatishe safari arudi mapema
 
Hivi unashindwa kuwa na ubinadamu hata chembe? ipo siku utayajibu haya kwa muumba wako, na kifo hakina upendeleo wewe ni Marehemu mtalajiwa Mungu ndio anajuwa utakufa kwa style ipi. endeleza kejeri nyuma ya keyboard siku yako itafika tu.

Yule aliyetupa bomu kanisani,walimuona(ikasemekana alivaa kanzu na balaghashi),,,,wakamkimbiza

Mashabiki wa chadema mnataka kuniambia huyu wa safari hii hamkumuona hapo ktk mkutano wenu akirusha au kujiandaa kurusha hilo bomu???

Moja kati ya vyama ambavyo viko vema ktk kujilinda,ni chadema.Lisaidieni taifa,ili huyo mharamia akamatwe badala ya kulifanya swala hili la kisiasa Kinyume cha hapo,MTAKUWA MNAJUA UNDANI WA BOMU LA JANA
 
Umeendika na kujionesha kwamba pa1 na uwezekano wa wewe kuwa umepitia madarasani; bado hukuweza kufuzu contextual analysis!
Kusoma yaweza kuwa lazima ILA kutafakari is ana OPTION-na hilo ndilo limekusumbua kwenye mada hii!
Kusema Intelijensia ya DR.SLAA imeonesha udhaifu tena kwa kejeli INAKUWEKA katika kundi la waliopanga na kutekeleza tukio hilo...!
KWA NINI?
Kwa sababu ULIPANGA NA KUTEKELEZA TUKIO ILI IONEKANE INTELIJENSIA YA DR.SLAA ni uzushi!
ILI IWEJE?
Ili wananchi wasimuamini yeye binafsi na CHADEMA
Sema tu Polisi wa nchi hii hawatumii SITUATIONAL GAP FILLERS la sivyo ushatiwa nguvuni!
UNATIA HASIRA NDUGU YANGU!
 
Siamin kama kurudi kwa JK kuna msaada wakati tayari damu ya watz wasiokuwa na hatia wameshamwaga damu!! Dalili za haya zilionekana mapema kupitia kauli za viongozi waandamizi kama Nape na Mwigulu na yeye alikuwepo anashangilia. Sasa kurudi unadhani kunamsaada gani!!? Mungu atatenda.. Hawezi kushndana na majambazi, wadhulumaji, watekaji, mafisadi na wanyanyasaji!
 
Unamatatizo ya kufikiri.. Unasahau kuwa Marekani ndiyo pekee yenye intelligensia ya kutisha lakini OSAMA alifanya yakwake akalipua na intelligensia ilikuwepo. Hivyo hivyo hatushangai kuona CCM inajipenyeza kama Osama na kufanya haya mauaji na vurugu za kuliaibisha taifa letu. "MUNGU ATALIPA"
 
Back
Top Bottom