suleym
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 1,960
- 1,205
ina uwezo wa kuumua uso wa mtu vizuri...
wewe nia yako mbaya sana tena ni ovu!!!!!!!!!!!!!!
ina uwezo wa kuumua uso wa mtu vizuri...
ina uwezo wa kuumua uso wa mtu vizuri...
kiwalani karibu na kiwanda cha pepsi kwa nyuma eneo la Mtambani ambapo ipo ileeeeeeeeee ofisi ya DOWASI..........maeneo hayo utapata ile Conco.......
umenikusha zamaniii nilitafuta kwa udi na uvumba tindikali.... hasira hasara always sijui sahiZi ningekuwa wapi
Bora umemweleza ukweli maana majaribio gani anayotaka kufanya maana kuna sulphuric acid, hydrochloric acid pia nitric acid sasa yeye anataka ipi na kama hajui anafanya majaribio gani maana in case imemwagikia kitu cha kwanza kutumia nini kuweza kui-neutrilize, akijua hili basi kweli kuna majaribio anataka kufanya maana na chemistry yangu ya Form one A kati ya tindikali mojawapo na nilizoitaja zina mtindo wa kufuata unyevunyevu yaani ukiwa unaichanganya yenyewe ndio inatakiwa uimimine kuelekea container nyingine na si container yenye mchanganyiko ndio imiminwe kuelekea kwenye hiyo acid maana itatoka yote na kufoka kwa juu mwisho wa siku inakuja machoni (bomu linamdhuru mtegaji)Bwana Mbuzi,
nakushauri ubadili mawazo kwani huko unakoelekea...utaishia pabaya.
kuna mambo mengi sana ya kufanya hata kama bado upo mtaani...hapahapa jamii forum unaweza kuomba ushauri..ila huo unaoutaka nakushauri uache!
kwa picha ya haraka tu, inaonekana hujui tindikali kwani zipo nyingi kwa kazi tofauti tofauti.
kumbuka majaribio yanayotumia tindikali hufanyika kwenye chumba maalum (maabara) chenye vifaa maalum kwa ajili hiyo na hayafanywi kwa mzaha kwani unaweza kutengeneza sumu au kitu chenye madhara makubwa kwako au kwa mazingira bila kujua. ila kama unapenda sana majaribio ya ki kemia...jiandikishe kozi za namna hiyo kama una vigezo..
mwisho,
TINDIKALI HAIUZWI KWA MTU AMBAYE HANA KIBALI/KIELELEZO CHA KUONESHA ANAKOIPELEKA
Ila hii kitu ukiwa nayo hata lita moja kwa wale wanaopenda kuja kuchukua vitu vya wenzao bila ruhusa usiku wa manane kwa kuvunja mlango ndo size yao maana wakati wanaanza tu unamwagia mmoja kidogo tu hata kwenye mkono akiendelea basi ni mwanamume maana sijui hata kama wanatembea na maji, wakiendelea kuvunja unachota kikombe kimoja tena unakirusha randomly kwenye kundi lote lazima watawanyike (huhitaji bastola)umenikusha zamaniii nilitafuta kwa udi na uvumba tindikali.... hasira hasara always sijui sahiZi ningekuwa wapi
Maji ya betri ndio hiyo tindikali inaitwa sulphuric acid (H2SO4)Hivi tofauti ya Tindikali na haya Maji ya beteri tunayoweka kwenye mabeteri ya magari ni nini.?
ina uwezo wa kuumua uso wa mtu vizuri...