Wapi ilipo ofisi ya Kata Kawe?

Wapi ilipo ofisi ya Kata Kawe?

ooki

Member
Joined
Feb 22, 2015
Posts
68
Reaction score
8
Jameni msaada kidogo, naomba kujua ofisi za kata ya kawe kesho nkaangalie jina langu kama limetoka kuandikisha wapiga kura kwa BVR
 
Ingekua poa zaidi ungeulizia majirani zako hapo nje wakuelekeze vizuri!!
 
Kama unatokea barabara ya kutoka mikocheniau msasani kwa mwalimu, shuka kituo kinachoitwa kanisani, kisha ingia kwa ndani utaona soko, uliza hapo hapo watakuonyesha, na humo humo kuna mahakama. Na kama unatokea mwenge au ubungo, panda gari la kawe ubungo, shuka kituo cha kanisani, ingia ndani kidogo utaona soko, kisha uliza watakuonyesha ofisi ilipo, asante, karibu kitaani kwetu, kaangalie jina lako,kama ukikosa, jua siku nyingine kuwa kazi, siyo lazima upate kwa njia ya kutuma maombi ya barua, huwa yanachelewa sana kufika, kuna njia nyingine DK 10, UNAKUWA USHAWEKWA SHORTLIST, NA KUPANGIWA KITUO. We mtu mzima ushanielewa.
 
Kama unatokea barabara ya kutoka mikocheniau msasani kwa mwalimu, shuka kituo kinachoitwa kanisani, kisha ingia kwa ndani utaona soko, uliza hapo hapo watakuonyesha, na humo humo kuna mahakama. Na kama unatokea mwenge au ubungo, panda gari la kawe ubungo, shuka kituo cha kanisani, ingia ndani kidogo utaona soko, kisha uliza watakuonyesha ofisi ilipo, asante, karibu kitaani kwetu, kaangalie jina lako,kama ukikosa, jua siku nyingine kuwa kazi, siyo lazima upate kwa njia ya kutuma maombi ya barua, huwa yanachelewa sana kufika, kuna njia nyingine DK 10, UNAKUWA USHAWEKWA SHORTLIST, NA KUPANGIWA KITUO. We mtu mzima ushanielewa.

Hahahahahhaha dah....kweliii hatariiiii....naona umelamba joker mwanzo wa mchezo
 
Kama unatokea barabara ya kutoka mikocheniau msasani kwa mwalimu, shuka kituo kinachoitwa kanisani, kisha ingia kwa ndani utaona soko, uliza hapo hapo watakuonyesha, na humo humo kuna mahakama. Na kama unatokea mwenge au ubungo, panda gari la kawe ubungo, shuka kituo cha kanisani, ingia ndani kidogo utaona soko, kisha uliza watakuonyesha ofisi ilipo, asante, karibu kitaani kwetu, kaangalie jina lako,kama ukikosa, jua siku nyingine kuwa kazi, siyo lazima upate kwa njia ya kutuma maombi ya barua, huwa yanachelewa sana kufika, kuna njia nyingine DK 10, UNAKUWA USHAWEKWA SHORTLIST, NA KUPANGIWA KITUO. We mtu mzima ushanielewa.

Sawa kaka nimekuelewa muandikishaji mkuu😂😂😂
 
Back
Top Bottom