Bujibuji naona haujipendi, yaani unawatukana wakware nduguze Jakaya? Mimi sikutetei japo uliyoyasema ni ya ukweli. Ondoa Bagamoyo, hapa Dar huu uwanja mpya watu si waling'oa viti kupeleka makwao kukalia. Nakumbuka mwaka juzi wachina walishangaa kuona vinyesi kibao stejini baada ya mechi ya simba na yanga kwisha. Cha kushangaza ule uwanja watu walijazana kibao kwa maana hiyo wale waliokunya pale walikuwa wanaangaliwa tu na mashabiki wenzao. Na kama walijichamba then yale maji yalienda kwenye viti vilivyokaliwa na wewe au mimi pale uwanjani, si ndiyo? Tujiulize, sasa hapa walikuwa wanamkomoa nani? Yaani hii nchi sijuwi tutaacha lini ujinga. Baada ya kupigania CCM ife eti watu wanaenda kunya uwanja wa taifa kwa hasira gani?
kweli wenzetu wako serious na siyo sisi wenye rais anachecheka tu yaani ni kufuru ukiangalia mawaziri ndio wanawaza kuiba tu na kurudi madarakani kabla ya kuwaza maendeleo wanwaza uchanguzi ujao nitarudi au?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.