Hahahaha kuna kiwi matunda na kiwi ndegeKumbe kiwi ni matunda?
Halafu New Zealand nao wakalimaSidhani kama yanalimwa hapa Tanzania, asilimia kubwa hutoka China.
Hakika ila tungepata mazao mengiHalafu New Zealand nao wakalima
Huenda yanaweza ota hata kwetu
Yaani tungekuwa kila tunapokwenda unarudi na mbegu za aina fulani tungekuwa tuna kila kitu kwa kweli
NajuaHakika ila tungepata mazao mengi
Sisi tatizo tunawaza pafupi ndiyo tatizo letu. Ndo maana hatujiongezi kwenye vitu vingiNajua
Wenzetu wanatuletea mbegu na kuondoka na mbegu
Unajua maembe sio zao letu yalitoka India pamoja na mchele?
Hata miwa walileta wahindi
Na Tende waarabu
Lakini wao wameondoka pia na mbegu nyingi sana na hata maua na wanyama na wadudu wenye faida na wengine wamewekwa kwenye Zoo kwa kuwaingizia kipato
Kujifanya ujuaji wakati ndio wa mwisho kwa uelewaSisi tatizo tunawaza pafupi ndiyo tatizo letu. Ndo maana hatujiongezi kwenye vitu vingi
Akili zefu zipo kubanana mjini tu na si kujiongeza juu ya hiloKujifanya ujuaji wakati ndio wa mwisho kwa uelewa
Kuna watu huwa wanasafiri na samaki ili wakapate hiyo mbegu wanayoitaka
Sisi tunajua dagaa sato na sangara tu
Inategemea na hali ya hewa ya sehemuMkuu haya matunda KIWI FRUITS asili yake ni CHINA na huko yanajulikana kama "Chinese goosebery". Miaka ya 1700s yalianza kulimwa nchini NEW ZEALAND na kubadilishwa jina na kuitwa KIWI FRUITS ili kuyapa umaarufu ili yajulikane kuwa yanatoka New Zealand.
Matunda haya yaliitwa Kiwi kutokana na ndege maarufu wa huko New Zealand ambaye ndiye alama ya Taifa la nchi hiyo. Manyoya ya ndege huyu(Kiwi Bird) yanafanana sana na jinsi tunda hili lilivyo kwa nje. Hapa Tanzania sidhani kama kuna mahali yanalimwa.
View attachment 818723 View attachment 818727
Bei yake ikoje?Sidhani kama yanalimwa hapa Tanzania, asilimia kubwa hutoka China.
Mkuu, kumbe wewe ni wa siku nyingi humu JF😀👏Halafu New Zealand nao wakalima
Huenda yanaweza ota hata kwetu
Yaani tungekuwa kila tunapokwenda unarudi na mbegu za aina fulani tungekuwa tuna kila kitu kwa kweli