Samsung au LG
Agiza zanzibar
Yule jamaa anaitwa Abdulwahid, hana hiyana. Anaweza kukuletea mpaka mlangoni.
Wacheki na wengine kwenye ule uzi wa wauza tv
Samsung au LG
Agiza zanzibar
Yule jamaa anaitwa Abdulwahid , hana hiyana. Anawezakukuletea mpaka mlangoni.
Wacheki na wengine kwenye ule uzi wa wauza tv
Samsung au LG
Agiza zanzibar
Yule jamaa anaitwa Abdulwahid , hana hiyana. Anawezakukuletea mpaka mlangoni.
Wacheki na wengine kwenye ule uzi wa wauza tv
Kuna thread ipo inatembea humu (nadhanu jukwaa la biashara) kuhusu kuuziana TV. Ipitie kabla hujaelekea Kariakoo, itakusaidia sana kujua mwelekeo wa bei na ubora.