falcon mombasa
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 9,213
- 9,334
Watanzania wanahaki ya kujua mahali wanapoishi viongozi waliowachagua, sasa swali la msingi ni wapi alipo aliekuwa makamu wa rais wa serikali ya mapinduzi ya zanzibar mzee wetu maalim Seif Sharifu Hamad. Kwa wale magreat thinker tayari washang'amua kitu hapa