Wapi alipo Maalim Seif kwa sasa?

Wapi alipo Maalim Seif kwa sasa?

falcon mombasa

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2015
Posts
9,213
Reaction score
9,334
Watanzania wanahaki ya kujua mahali wanapoishi viongozi waliowachagua, sasa swali la msingi ni wapi alipo aliekuwa makamu wa rais wa serikali ya mapinduzi ya zanzibar mzee wetu maalim Seif Sharifu Hamad. Kwa wale magreat thinker tayari washang'amua kitu hapa
 
Watanzania wanahaki ya kujua mahali wanapoishi viongozi waliowachagua, sasa swali la msingi ni wapi alipo aliekuwa makamu wa rais wa serikali ya mapinduzi ya zanzibar mzee wetu maalim Seif Sharifu Hamad. Kwa wale magreat thinker tayari washang'amua kitu hapa

We vipi kwani umeenda nyumbani kwake umemkosa??
 
anashawishiwa aachiwe nchi ni aibu rais kuongoza miaka mi 5 na kushindwa vibaya.
 
Mkuu huyu mtu yupo Mkunazini anakula tende na gahawa! anasubiri "kuapishwa na wananchi wenyewe" make hamna namna...
 
Yupo zanzbar rais halali anaesubiri kuapishwa.
 
Wenzake wamejiuzulu yeye bado anakula fadhila za SMZ
 
Mhhh jana kazushiwa kitu....wall ya mbunge Allly Saleh iliandika kwa mafumbo
 
Back
Top Bottom