Wapenzi wa taarabu mpo wapi ?

Wapenzi wa taarabu mpo wapi ?

mayonce

Member
Joined
Sep 1, 2014
Posts
21
Reaction score
0
Wakuu mpo? jamani mbona sijawahi ona post zinazo husu taarabu au wapenzi wataarabu humu hawapo?
 
Ukiona mtu kaweka taarabu halafu we unajisikia vibaya ujue yanakuhusu, ujumbe umekuchoma...na hiyo ni moja ya kazi ya sanaa ambazo ni kuburudisha, kuelimisha na kugusaa...
Ikikugusaa jirekebisheee....!
 
Ukiona mtu kaweka taarabu halafu we unajisikia vibaya ujue yanakuhusu, ujumbe umekuchoma...na hiyo ni moja ya kazi ya sanaa ambazo ni kuburudisha, kuelimisha na kugusaa...
Ikikugusaa jirekebisheee....!

Kuna ule naupenda anaimba mke wa mzee Yusuph sina muda wa kukudiskas unaujua unipe mashairi kidogo
 
Ukiona mtu kaweka taarabu halafu we unajisikia vibaya ujue yanakuhusu, ujumbe umekuchoma...na hiyo ni moja ya kazi ya sanaa ambazo ni kuburudisha, kuelimisha na kugusaa...
Ikikugusaa jirekebisheee....!

Hayo ndo mambo ya uswazi kwakweli mi hata iweje uwekwe kwa entertaiment haunigusi kabisa sembuse hao wanaowekeanaga kifumbo bongo fleva yenyewe imenikaa kushoto sana
 
Hayo ndo mambo ya uswazi kwakweli mi hata iweje uwekwe kwa entertaiment haunigusi kabisa sembuse hao wanaowekeanaga kifumbo bongo fleva yenyewe imenikaa kushoto sana

Kuna watu wanawekaga hata hamjakosanagaa ukiwa uswahili ndio utakomaaa aiseee
 
Kuna ule naupenda anaimba mke wa mzee Yusuph sina muda wa kukudiskas unaujua unipe mashairi kidogo

sina mda huo sina :*2
wa kukaa kibarAzani nimsemange mtu
nna hamsini zanguu
zinanipelekA mbiooooo
ngoja napika shosti ntarudi
 
Back
Top Bottom