Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 23,410
- 36,560
Daah kuna Mr Ebu........
Mark angel Comedy
-Success
-Emmanuela
-Chukwu emeka
Mark angel Comedy
-Success
-Emmanuela
-Chukwu emeka
hahahaha wadau wameamua kuhamisha goli naona wengi hawajajua dhamira ya mtoa madaKuna wadau hawajakuelewa or wameamua tu kujitoa ufahamu😆😆
Kuna wadau hawajakuelewa or wameamua tu kujitoa ufahamu😆😆
naikumbuka Sakobi kuna anae ikumbuka humu
Kuna Izaga daah Zilikua nomaIgodo
Ni Sandra au "Cassandra " , tuliwekewa olevel shuleni inafundisha mno.tuendelee kumvuluga mtoa mada,
naikumbuka movie moja inaitwa Sandra ni hatari na nusu
Na hatuingii kwenye mtego wake abaki na dhambi zake mwenyewe sisi tunazungumzia wakina Mercy Johnson hapatuendelee kumvuluga mtoa mada,
naikumbuka movie moja inaitwa Sandra ni hatari na nusu