Wapenzi wa mashuleni, vyuoni

Wapenzi wa mashuleni, vyuoni

No!! Nimezungumzia Chuon Na Kazini. Nadhani Unaelewa!!
Nachojaribu Ni Kukielezea Aina Ya Lifestyle Yangu Ni Kutochanganya Hayo Mambo Kwa Wakat Mmoja..., Mapenzi Ni Muhimu Lakin Yana Mahala Pake!! Mimi Nilipokua Chuo, Nilikua Chuo Hasa Na Ninapokua Job, Ni Nipo Job Hasa!!! Siwez Chuo Humo Humo, Mapenz Humo Humo. Kwangu Mimi, Kila Kitu Kina Muda Wake!!!!
 
Nachojaribu Ni Kukielezea Aina Ya Lifestyle Yangu Ni Kutochanganya Hayo Mambo Kwa Wakat Mmoja..., Mapenzi Ni Muhimu Lakin Yana Mahala Pake!! Mimi Nilipokua Chuo, Nilikua Chuo Hasa Na Ninapokua Job, Ni Nipo Job Hasa!!! Siwez Chuo Humo Humo, Mapenz Humo Humo. Kwangu Mimi, Kila Kitu Kina Muda Wake!!!!

Imagine We Ni Boss Afu Mpenzi Wako Yupo Hapo Ofisini.Akichelewa Kazini Utamuuliza Alikua Wapi?Akikosea Makusudi Utamuuliza?Ama Utasema Kofi La Mpenzi Haliumi
 
Back
Top Bottom