Wapenzi wa mashuleni, vyuoni

Wapenzi wa mashuleni, vyuoni

Hahahaha me nlishawah kumkimbia dem me nlikuwa mwaka wa mwisho ye anakuja first year
 
Akikimbia
Mrudishe umkomeshe....
Si wajua Panya anapenda Butter, mpe butter atarudi tuuu
 
Me Nakushangaa Mana Sijasoma Sekondari.Wewe Umekariri Kua Kila Mwana Jf Kafika Sekondari?Mie La Saba Bwana!!


Katika bandiko lako umesema umefika chuo halafu unajikana tena!!!! mmmmmhhh
 
Mkuu ulichoandika hapo kitaalamu tunaita"uandishi malaya"..Yani unarukaruka tu..unaongea hiki kabla hujamaliza umerukia hiki..Jaribu kuiunga story yako vizuri

Kwel kabisa mkuu... jamaa alikua na point ila kashindwa kuipangaa
 
Nilikua nakiu ya kufika chuo kikuu na nikajaliwa nikafika.Nilihadithiwa kua chuo kikuu kuna madem wakali na unalipwa huko,nikawa nasoma kwa juhudi ili nikapaone.Chuoni Watu wanaoana na kupendana sana hadi wanazalishana.

Ila Wanawake wengi hutelekezwa na wanaume pia wanadanganywa.Jamaa yangu alipanga na dem nje ya chuo ambae alikua first year na jamaa akiwa 2 year.Jamaa Alipomaliza wakakubaliana waende na msichana kwao.

Walipofika Stand jamaa akamwambia msichana nisubiri naenda dukani.Jamaa Alitoweka kusikojulikana mana yeye alikua tayari kamaliza 3year.Dada Alipagawa na akaumia sana.Je Unayaonaje mapenzi ya shule na chuo?

Je, ni sehemu sahihi ya kua na wapenzi?Je Tunaokopeshwa na bodi unadhani wao wanakukopesha ili ukafanye ulayama huko chuo?Je Kwenu hakuna wachumba?

Kumbe ulikopeshwa karo? Madhara yake ndio hayo! Sisi tuliojilipia tulijua ugumu wake ndio maana hatukuingilia umalaya!
 
Kumbe ulikopeshwa karo? Madhara yake ndio hayo! Sisi tuliojilipia tulijua ugumu wake ndio maana hatukuingilia umalaya!

Nilikopeshwa 100%ila Nimekaa Hostel Miaka3 Na Sijawai Panga Nje Na Manzi Kama Masela Man
 
Back
Top Bottom