ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 23,650
- 57,043
Hahahaha me nlishawah kumkimbia dem me nlikuwa mwaka wa mwisho ye anakuja first year
Yaah!! Kuna Cha Ajabu??Ya Kweli Hayo?
Haha Haa Butter Ndio Tigo Au?
Nishapata mwangaMe Nakushangaa Mana Sijasoma Sekondari.Wewe Umekariri Kua Kila Mwana Jf Kafika Sekondari?Mie La Saba Bwana!!
Nilidisco Man Sa Ivi Napiga Debe Hapa Ubungo Maji.Ukija Utanikuta.Uandishi Wangu Huo Nikadisco Mwaka Wa 3 Chuoni
Me Nakushangaa Mana Sijasoma Sekondari.Wewe Umekariri Kua Kila Mwana Jf Kafika Sekondari?Mie La Saba Bwana!!
Soma Mada Fresh.Afu Kumbuka Law Of Use And Dis Use,
Mkuu ulichoandika hapo kitaalamu tunaita"uandishi malaya"..Yani unarukaruka tu..unaongea hiki kabla hujamaliza umerukia hiki..Jaribu kuiunga story yako vizuri
Nilikua nakiu ya kufika chuo kikuu na nikajaliwa nikafika.Nilihadithiwa kua chuo kikuu kuna madem wakali na unalipwa huko,nikawa nasoma kwa juhudi ili nikapaone.Chuoni Watu wanaoana na kupendana sana hadi wanazalishana.
Ila Wanawake wengi hutelekezwa na wanaume pia wanadanganywa.Jamaa yangu alipanga na dem nje ya chuo ambae alikua first year na jamaa akiwa 2 year.Jamaa Alipomaliza wakakubaliana waende na msichana kwao.
Walipofika Stand jamaa akamwambia msichana nisubiri naenda dukani.Jamaa Alitoweka kusikojulikana mana yeye alikua tayari kamaliza 3year.Dada Alipagawa na akaumia sana.Je Unayaonaje mapenzi ya shule na chuo?
Je, ni sehemu sahihi ya kua na wapenzi?Je Tunaokopeshwa na bodi unadhani wao wanakukopesha ili ukafanye ulayama huko chuo?Je Kwenu hakuna wachumba?
Haaa haaaa,haaaaaa.Yaani wewe kila ulipopita unangonoka tyuuuuuuuuuuuuuuu.
Nilikopeshwa 100%ila Nimekaa Hostel Miaka3 Na Sijawai Panga Nje Na Manzi Kama Masela Man