Wapenzi wa mashuleni, vyuoni

Wapenzi wa mashuleni, vyuoni

BUMIJA

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2011
Posts
6,182
Reaction score
11,779
Nilikua nakiu ya kufika chuo kikuu na nikajaliwa nikafika.Nilihadithiwa kua chuo kikuu kuna madem wakali na unalipwa huko,nikawa nasoma kwa juhudi ili nikapaone.Chuoni Watu wanaoana na kupendana sana hadi wanazalishana.

Ila Wanawake wengi hutelekezwa na wanaume pia wanadanganywa.Jamaa yangu alipanga na dem nje ya chuo ambae alikua first year na jamaa akiwa 2 year.Jamaa Alipomaliza wakakubaliana waende na msichana kwao.

Walipofika Stand jamaa akamwambia msichana nisubiri naenda dukani.Jamaa Alitoweka kusikojulikana mana yeye alikua tayari kamaliza 3year.Dada Alipagawa na akaumia sana.Je Unayaonaje mapenzi ya shule na chuo?

Je, ni sehemu sahihi ya kua na wapenzi?Je Tunaokopeshwa na bodi unadhani wao wanakukopesha ili ukafanye ulayama huko chuo?Je Kwenu hakuna wachumba?
 
Yeah wapo waliokutana chuo na sasa ni mke na mume tena wengi tu
 
kukimbiwa ni ajali kazini....hata asingekuwa mwanachuo suala la kupigwa kibuti au kutelekezwa lipo tu
 
kukimbiwa ni ajali kazini....hata asingekuwa mwanachuo suala la kupigwa kibuti au kutelekezwa lipo tu
Lakini Kumbuka Chuo Ulienda Kusoma So Kitu Cha Kuzngatia Unapoenda Chuo Ni Masomo, Hiyo Sio Ajali Ni Ujinga Wa Kutegmea Mapenzi Zaidi Ya Kilichompeleka!! Binafsi Toka Primary, Chuo Mpaka Job Sijawahi Kuwa Na Demu Maeneo Hayo.
 
Alafu ni mwanachuo huyo!! Uandishi gani huo
 
Mkuu ulichoandika hapo kitaalamu tunaita"uandishi malaya"..Yani unarukaruka tu..unaongea hiki kabla hujamaliza umerukia hiki..Jaribu kuiunga story yako vizuri

Kaka Sina Mpangilio Mana Hata Sekondari Sijaenda.Me Ni Slow Learner Sina Organizational Thinking,nyie Wasomi Mtuelekeze
 
Lakini Kumbuka Chuo Ulienda Kusoma So Kitu Cha Kuzngatia Unapoenda Chuo Ni Masomo, Hiyo Sio Ajali Ni Ujinga Wa Kutegmea Mapenzi Zaidi Ya Kilichompeleka!! Binafsi Toka Primary, Chuo Mpaka Job Sijawahi Kuwa Na Demu Maeneo Hayo.

Ya Kweli Hayo?
 
Alafu ni mwanachuo huyo!! Uandishi gani huo

Nilidisco Man Sa Ivi Napiga Debe Hapa Ubungo Maji.Ukija Utanikuta.Uandishi Wangu Huo Nikadisco Mwaka Wa 3 Chuoni
 
Back
Top Bottom