Sisi ni Kikundi cha Wavulana watatu ambao tumekuwa pamoja na tumesoma pamoja hadi hatua ya kuajiriwa Serikalini mmoja kati yetu ameajiriwa Serikali kuu na wawili tupo katika mashirika ya umma.
Tunatafuta Wachumba wasichana watatu wawe na Elimu ya kuanzia ngazi ya Cheti na kuendelea, weupe kiasi, waelewa, wenye makalio ya kuvutia, maumbo mazuri, , walio na Kazi au hata wasio na kazi na Mungu akipenda tuna lengo la kufunga Ndoa tatu kwa mara moja kwa walio na sifa hizo tu Pm.
Tunatafuta Wachumba wasichana watatu wawe na Elimu ya kuanzia ngazi ya Cheti na kuendelea, weupe kiasi, waelewa, wenye makalio ya kuvutia, maumbo mazuri, , walio na Kazi au hata wasio na kazi na Mungu akipenda tuna lengo la kufunga Ndoa tatu kwa mara moja kwa walio na sifa hizo tu Pm.