Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Kundi la watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja waliotoroka katika Kambi ya Wakimbizi ya Kakuma wamerudishwa katika kambi hiyo
Watu hao walitoroka katika kambi hiyo ya Kakuma kwa madai kuwa walikuwa walengwa wa matukio ya ubaguzi dhidi yao, wamekamatwa Nairobi na wamerudishwa katika kambi hiyo
Walitoroka katika kambi hiyo baada ya maafisa wanaosimamia Kambi ya Kakuma kueleza kuwa hawako tayari kuwalinda watu wanaojihusisha na vitendo hivyo
Kufuatia sakata hilo, Umoja wa Mataifa umeahidi kutoa ulinzi dhidi ya watu hao
Watu hao walitoroka katika kambi hiyo ya Kakuma kwa madai kuwa walikuwa walengwa wa matukio ya ubaguzi dhidi yao, wamekamatwa Nairobi na wamerudishwa katika kambi hiyo
Walitoroka katika kambi hiyo baada ya maafisa wanaosimamia Kambi ya Kakuma kueleza kuwa hawako tayari kuwalinda watu wanaojihusisha na vitendo hivyo
Kufuatia sakata hilo, Umoja wa Mataifa umeahidi kutoa ulinzi dhidi ya watu hao