Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 7,194
- 10,929
Kambi yaJabaliya ambayo ipo kaskazini ya Gaza ni moja ya eneo lenye msongamano mkubwa zaidi katika Gaza na mitaa yake si rahisi kupita hata gari.Kambi hiyo ni matokeo ya kufukuzwa wapalestina kutoka maeneo yao jirani na hapo mnamo mwaka 1948.
Katika taarifa yake serikali ya Israel kupitia msemaji wa jeshi imesema ilifanya hivyo ili kumpata kamanda mmoja wa Hamas aliyeshiriki kupanga shambulio la Oktoba 7.
Kupigwa kwa kambi hiyo ndio kumeijulisha dunia zaidi Israel na jeshi lake la IDF ni nani.
1. Ni waongo sana
Hamas wamesema hawana kamanda yeyote anayeishi kwenye kambi hiyo.
2.Ni waoga wa mwisho
Walikuwa wanamsaka kamanda mmoja lakini wamerusha makombora 7 mazito yaliyoangusha majengo zaidi ya 20.Inakuwaje mtu mmoja anapigwa na idadi ya yote hiyo ya makombora.
Kwa vile wametangaza wameshaingia Gaza si wangetuma askari kwenda kumuu huyo kama waliyemtaka bila kutumia ndege.
Katika shambulio hilo watu zaidi ya 100 wengi wakiwa ni watoto wameripotiwa kufa hapo hapo na wengi kujeruhiwa.
Waandishi wa habari na wahudumu wa mashirika ya kutoa misaada ambao si waislamu wamehuzunishwa sana na shambulio hilo kwa watu maskini.
Kilichowatoa machozi baadhi yao ni kuona watoto wadogo wakibeba maiti za watoto wenzao na wengine wakbeba majeruhi waliokuwa viuongo vikidondoka chini.
Akinamama na watoto walionekana kupata mshtuko na kutojua wapi waelekee na maiti na majeruhi hao mikononi mwao.
imewahuzunisha sana kuona watoto wa kike kwa kiume wakiingia kwenye shughuli hiyo kubeba maiti na majeruhi bila kuelekezwa na yeyote huku wakiwa wamechanganyikiwa.
Katika taarifa yake serikali ya Israel kupitia msemaji wa jeshi imesema ilifanya hivyo ili kumpata kamanda mmoja wa Hamas aliyeshiriki kupanga shambulio la Oktoba 7.
Kupigwa kwa kambi hiyo ndio kumeijulisha dunia zaidi Israel na jeshi lake la IDF ni nani.
1. Ni waongo sana
Hamas wamesema hawana kamanda yeyote anayeishi kwenye kambi hiyo.
2.Ni waoga wa mwisho
Walikuwa wanamsaka kamanda mmoja lakini wamerusha makombora 7 mazito yaliyoangusha majengo zaidi ya 20.Inakuwaje mtu mmoja anapigwa na idadi ya yote hiyo ya makombora.
Kwa vile wametangaza wameshaingia Gaza si wangetuma askari kwenda kumuu huyo kama waliyemtaka bila kutumia ndege.
Katika shambulio hilo watu zaidi ya 100 wengi wakiwa ni watoto wameripotiwa kufa hapo hapo na wengi kujeruhiwa.
Waandishi wa habari na wahudumu wa mashirika ya kutoa misaada ambao si waislamu wamehuzunishwa sana na shambulio hilo kwa watu maskini.
Kilichowatoa machozi baadhi yao ni kuona watoto wadogo wakibeba maiti za watoto wenzao na wengine wakbeba majeruhi waliokuwa viuongo vikidondoka chini.
Akinamama na watoto walionekana kupata mshtuko na kutojua wapi waelekee na maiti na majeruhi hao mikononi mwao.
imewahuzunisha sana kuona watoto wa kike kwa kiume wakiingia kwenye shughuli hiyo kubeba maiti na majeruhi bila kuelekezwa na yeyote huku wakiwa wamechanganyikiwa.