Wapenzi wa Candy Crush Saga tukutane hapa

Tukienda kisayansi kabisa
Mosi:Wanawake in general hawapendi vitu vigumu vinavyotumia akili nyingi(sio uwezo wa kukariri) ndomaana wengi hawasomi sayansi. Magem kama motocombat,Freerire,Pubg hawapendi

pili wanawake(na watoto) wanapenda rangi rangi nyingi(bright colours) lakini wanaume hawapendi hivo wanapenda simple colours(black/white) Angalia hata mavazi...wanaume(kwa wingi) wanavaa plain sana yani jinsi plain,tishet plain au Kanzu plain lakini wanawake wanavaa mavitenge madera na manguo yenye rangi nyinginyingi.

Tatu.Rangi ya pink (na zinazoikaribia hiyo mpaka dhambarau)inapendwa sana na jinsia hiyo na ndomaana candy crush wanapenda

Nne,Pipi tu ni chakula kinachopendwa na wanawake na watoto...ni ajabu kuona jamaa na midevu yake anakula pipi kijiti lakini ni kawaida kumuona binti.






Sent using Jamii Forums mobile app
Rubbish
 
Majina ya wacheza candy crush,
1607626757189.png
1607626779338.png
1607626797558.png
1607626814630.png
1607626830977.png

Kwa nchi zilizoendelea mpaka watu wazima kwenye 50's wanacheza candy crush
 
Research imefanyika USA unaichukua kama ilivyo unaileta Tanzania kweli???? :D :D :D :D
 
Pamoja na research uliyoiba huko google imeonyesha kuwa Candy crush inachezwa na jinsia zote na bado kihesabu Duniani wanawake ni wengi kuliko wanaume ulitegemea graph ilingane? Ndio maana na kwambia hiyo shahada yako ya uzamili ni wastage of resource.
1607627883021.png

Kama researcher wanatambua kuna wanaume wanacheza candy crush wewe ni nani utuambie ni game la kike?
 
Pamoja na research uliyoiba huko google imeonyesha kuwa Candy crush inachezwa na jinsia zote na bado kihesabu Duniani wanawake ni wengi kuliko wanaume ulitegemea graph ilingane? Ndio maana na kwambia hiyo shahada yako ya uzamili ni wastage of resource.
View attachment 1646516
Kama researcher wanatambua kuna wanaume wanacheza candy crush wewe ni nani utuambie ni game la kike?
mzee hata ukiangalia research ya watu wanaovaa hereni,wanaume watakuwa wengi tu...esp. marekani kwa mashoga

Sasa ratio ya 2:1 kumbuka hata kiidadi wanawake hawajatuzidi kwa 2:1
so hiyo inaonesha ni game linalopendwa na hiyo jinsia.


Hata hapa bongo tusiende mbali tuwe wawazi Madem ndo wanalicheza hilo game by 3:4...na ukikuta men anacheza mara nyingi anakua feminine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom