Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,231
- 49,962
Kuna level ngumuuu unaweza ukakesha nazo hata 2 weeks.Nilifika level ya 900+ nikakwama nikaona nifunge ukurasa
Me nikishindwa nalipotezea kwa mda nikilimiss nalirudia had navuka
Kuna level ngumuuu unaweza ukakesha nazo hata 2 weeks.Nilifika level ya 900+ nikakwama nikaona nifunge ukurasa
Mimi sikumbuki level sahihi lakini nipo 2000+ na ni mwaka wa tatu huu nafukuza mwiziKuna level ngumuuu unaweza ukakesha nazo hata 2 weeks.
Me nikishindwa nalipotezea kwa mda nikilimiss nalirudia had navuka
Una maana kama uliunganisha na FB? Kama ni hivyo ukujiunga tena unaendelea pale ulipoishia.Ukii download upya utaendelea palepale ulipoishia mwanzo kama ulikua ukicheza "online"
Mimi nililicheza mwaka mzima mfululizo. Kuna mahali unashare na marafiki ili upate point za kuvuka level fulani. Vurugu tupuMimi sikumbuki level sahihi lakini nipo 2000+ na ni mwaka wa tatu huu nafukuza mwizi
Ukiingia Kariakoo kuna Madera wanauza..ila hutaona wameandika sehemu haya ni mavazi ya kike na mtu yeyote anaweza kununua.Mtazamo wako tu, playstore hawajahainisha sex kipindi tuna download,
Dela lina sehemu za kuhifadhi kalio na matiti, Hiyo candy imeandikwa wapi wanawake?Ukiingia Kariakoo kuna Madera wanauza..ila hutaona wameandika sehemu haya ni mavazi ya kike na mtu yeyote anaweza kununua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwaka wa 3 unapambana na level 1 hujavuka?Mimi sikumbuki level sahihi lakini nipo 2000+ na ni mwaka wa tatu huu nafukuza mwizi
nipo 2000+ levelsMwaka wa 3 unapambana na level 1 hujavuka?
Ooh nimekusoma, najitahidi hadi nione mwisho wake ukojenipo 2000+ levels
Hilo ni kama Isidingo tuOoh nimekusoma, najitahidi hadi nione mwisho wake ukoje
Dela gani hilo? Maana nijuavyo mimi dela ni kama kanzu tu tofauti ni mishono ya shingoni na aina ya vitambaa tu.Dela lina sehemu za kuhifadhi kalio na matiti, Hiyo candy imeandikwa wapi wanawake?
Basi kama ni Kanzu kwa nini usivae boss?Dela gani hilo? Maana nijuavyo mimi dela ni kama kanzu tu tofauti ni mishono ya shingoni na aina ya vitambaa tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bila shaka mkuu wewe utakuwa wa DarUsihukumu kitu usichokijua. Sema unasikia jina na pengine unaona kwenye matangazo lakini haujawahi kulifungua. Kama umeshindwa kutambua marangi ya zile balls unawezaje kusema ni la kike?
Yaani kila kitu unabahatisha tu.
Sivai kwa sababu tu limezoeleka kuvaliwa na wanawake...lakini Hakuna sababu ya kisayansi ya kulidhihirisha ni vazi la kike..ni ishu ya mtazamo tu.Basi kama ni Kanzu kwa nini usivae boss?
Weka namba mezani wanaume na wanawake wangapi wanacheza hili game? Kama huna namba tulia tu.Sivai kwa sababu tu limezoeleka kuvaliwa na wanawake...lakini Hakuna sababu ya kisayansi ya kulidhihirisha ni vazi la kike..ni ishu ya mtazamo tu.
Na ndo candy crush..limezoeleka kuchezwa na wanawake
Sent using Jamii Forums mobile app
Naunga hoja. Hii ni zaidi ya isindigo ila sema nahisi huko mbeleni zile coin zinakuwa converted unapewa usdOoh nimekusoma, najitahidi hadi nione mwisho wake ukoje
Unakariri sana. Pole
Tukienda kisayansi kabisaYaani kila kitu unabahatisha tu.