game la kike???
Mimi nimekushangaa wewe ambaye hutaki kuona vidume ilhali wewe ni kidume
mi nakubal bahat mbaya nimeingia choo cha kike...lakini hakunizuii kushangaa wanaume ambao kwao ni kawaida kukitumiaMimi nimekushangaa wewe ambaye hutaki kuona vidume ilhali wewe ni kidume
Aah mwanaume unakaza kende kabisa unacheza candy crush?Tena kwenye daladala?game la kike???
Umeathiriwa na yale marangirangi.Aah mwanaume unakaza kende kabisa unacheza candy crush?Tena kwenye daladala?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo manini ayo?Au yamo kwenye candy crushUmeathiriwa na yale marangirangi.
Kumbe hata game yenyewe hujawahi kuiona?
Nishaiona ila sijawahi kuicheza...Naionaga hasahasa kwenye madaladala madem wanacheza tena kwenye zile simu zenye kava jekundu shape ya paka.Kumbe hata game yenyewe hujawahi kuiona?
Usihukumu kitu usichokijua. Sema unasikia jina na pengine unaona kwenye matangazo lakini haujawahi kulifungua. Kama umeshindwa kutambua marangi ya zile balls unawezaje kusema ni la kike?Nishaiona ila sijawahi kuicheza...Naionaga hasahasa kwenye madaladala madem wanacheza tena kwenye zile simu zenye kava jekundu shape ya paka.
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu marafiki zangu wa kike wanalicheza sana...nikiliona tu nalijuaUsihukumu kitu usichokijua. Sema unasikia jina na pengine unaona kwenye matangazo lakini haujawahi kulifungua. Kama umeshindwa kutambua marangi ya zile balls unawezaje kusema ni la kike?
Humu unatafuta nini?
Humu unatafuta nini?
mi nakubal bahat mbaya nimeingia choo cha kike...lakini hakunizuii kushangaa wanaume ambao kwao ni kawaida kukitumia
Nilifika level ya 900+ nikakwama nikaona nifunge ukurasaNapambana na level 2898View attachment 1646446
Mtazamo wako tu, playstore hawajahainisha sex kipindi tuna download,Sent using Jamii Forums mobile app