Wapenzi lakini hatujawahi kuonana

Wapenzi lakini hatujawahi kuonana

Ulishamwonaga asap?????? Au ulivutiwa sauti???

Asije kukufundisha kushika ukuta
 
Hata sula siijui simu yake haina wasap, pesa hapana sijawah mtumia labda vocha mala moja moja wandugu
 
hapo umedandanywa mkuu kwenye simu kila mtu atakwambia yupo dar kumbe yupo sumbawanga
 
Mlichonacho kinaitwa emotional affair. Wanawake wengi (nathubutu kusema decent, ambao wanalazimishwa na upweke kwa sababu ya wenza wao kuwa kama hawapo) wanafanya hivi. Anaogopa kukuona asije akaishia kungonoka na wewe. Anakutumia kama emotional mpnz. Usimhesabie kama mpenzio, unless na ww unataka emotional affair.
 
Utatongozaje sauti? Yawezekana ana age ya mamako au dadako mkubwa! Japo umri mara nyingine si kitu mbele ya penz, but kuonana uso kwa uso ndo mpango mzima wa kuanza mahusiano.
 
Huu ujinga huu. Unamwita ni mpenz wako wakat hujamsukuma kizazi? Kweli akili yako bloila
 
Habarini wandugu na poleni na majukumu ya kila siku, 2014 mwishoni nlitumiwa sms ya salamu ya kawaida tu na namba ilikuwa ngeni. Nikapiga simu akapokea mdada baada ya salamu akaniuliza wewe nani nikamwambia umentumia sms akadai kama ni hivo basi atakua alikosea namba.

Tukaendelea kuwasilina tukazoeana sana kupitia simu. Mwezi wa tatu hivi 2015 nikamu approach tukawa wapenzi yaani vizuri tu japo hatujawahi kuonana yaani sometime hadi tuna gombana tunapatana kama tumewahi kuonana hivi, miezi michache iliyopita nimehamia mji ambao yeye yupo nilimwambia akafurahi sana tatizo linakuja sasa nikimwambia tuonane anakwepa kwa visingizio kibao mara nyingine husema anakuja halafu kimya had leo hii hatuja onana.

Nashindwa kuelewa kwa nini hataki tuonane anataka mawasiliano ya simu tu.

Naomba ushauri wenu

Kamata jembe ukalime huyo msanii wa bongo flavor mtoe kwenye list yako
 
Hawa viumbe ni hatari sana kwa mizinga....nathan umesha mtumia pesa si ndiyo mkuu?....mie nina kisa cha mrembo wa facebook na jina nitaliweka hadhalan na namba ya simu....ili liwe fundisho kwa wengine.
 
Teh teh teh teeeh! Mwenzio anapenda mapenzi ya hivyo hivyo ila msionane, nayo yana raha yake.
 
Mpotezee au mbayaa nakajipa sifa yy bonge la sista duu ila mpotezee atakutafuta
 
Back
Top Bottom