DCASHDOLLAR
Member
- Apr 4, 2011
- 8
- 0
Kupitia kona hii natafuta marafiki wa kike popote pale. bila kujali umri.
join to me as soon as posible.
THANKS
join to me as soon as posible.
THANKS
Kupitia kona hii natafuta marafiki wa kike popote pale. bila kujali umri.
join to me as soon as posible.
THANKS
Charity begins at home, kama umeshindwa kupata marafiki mtaani kwenu na kazini basi huenda na hapa ukawakosa.
Kila la heri, Una pesa lakini?
Money talks babu eeh.......
AD hapo juuuuuuuu, huyo mtoto nusu, nikuletee Ukwajuuuuuuuuuuuu!!!!!!!
Daahhh ok
bonyeza jina langu afrodenzi
mstari wa tatu chini upande wa kushoto
utaona add friend. Bonyeza hapo halafu
Subiri niku accept..
kama ni marafi tu
fanya hivyo maana
nimeolewa nanina watoto sita na nusu..
mm ningefurahi girls nao wajitokeze co boys pekee, au boys tuna true lu than geloz
mm ningefurahi girls nao wajitokeze co boys pekee, au boys tuna true lu than geloz
yupo tumboni...Hahha watoto sita na nusu hhahha bado anatambaa nini
Hahha watoto sita na nusu hhahha bado anatambaa nini
yupo tumboni...
Daahhh ok
bonyeza jina langu afrodenzi
mstari wa tatu chini upande wa kushoto
utaona add friend. Bonyeza hapo halafu
Subiri niku accept..
kama ni marafi tu
fanya hivyo maana
nimeolewa nanina watoto sita na nusu..
mimi natafuta rafiki wa ukweli wa kiume akinifaa inakua real relationship..ambaye hataniumiza moyo wangu akaacha makovu maana nina majeraha tayari..