muafi
JF-Expert Member
- Oct 6, 2015
- 2,117
- 4,812
Poleni ma majukum
Siku za hivi karibuni yapata miezi mitatu hivi nyuma nimekua sina ashki na tendo la ndoa yani sisikii raha yoyote pale ninapofanya tendo la ndoa
Kabla ya kufanya tendo ninakua nina hamu kabisa ya kufanya lakini wakati wa tendo lenyewe sisikii raha yoyoye ile,
Nipeni ujuzi wenu nitumie vyakula gani hasa au nifanyeje ili kupata raha ya tendo la ndoa?
Je, hili poa laweza kuwa tatizo kubwa?
Jinsia yangu ni ME
Siku za hivi karibuni yapata miezi mitatu hivi nyuma nimekua sina ashki na tendo la ndoa yani sisikii raha yoyote pale ninapofanya tendo la ndoa
Kabla ya kufanya tendo ninakua nina hamu kabisa ya kufanya lakini wakati wa tendo lenyewe sisikii raha yoyoye ile,
Nipeni ujuzi wenu nitumie vyakula gani hasa au nifanyeje ili kupata raha ya tendo la ndoa?
Je, hili poa laweza kuwa tatizo kubwa?
Jinsia yangu ni ME