Wapenda ugali mpo?

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
58,636
Reaction score
220,349
Habari za J3 wapendwa

Mimi ninapenda sana kula ugali, ninaweza kula chakula hiki siku saba za juma mradi tu nibadilishe kitoweo. Kuna wanaume nikiwaeleza mapenzi yangu kwa ugali wananiona mlugaluga.

Imebidi nipunguze ulaji wa ugali kutokana na issue za uzito wa mwili. Siku hizi ninakula ugali Jumamosi tu. Kuna wanawake wanaopenda kula ugali kama mimi?

Wanaume pia mnakaribishwa

 
unaishi tanzania apa apa au upo nchi za ugenini mana nikifuatiliaga post zako unaonekana kama upo nchi za ighaibuni sasa uko ugaibuni ugali unapataje...???
 
Ugali ni mtamu jamani tuache utani hasa ukila na samaki au nyama choma....ila una wanga (carbohydrate)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…