Wapenda soccer mnisamehe kwa kusema hili

jamii01

JF-Expert Member
Oct 1, 2010
1,974
1,401
Ni mda sasa tangu ligi kuu ya Barclays Premier Legue ianze..kinachonishangaza na kunisikitisha ni pindi mechi inavyochezwa kila kitu Tanzania kinasimama vijana wa vijiweni ndiyo usiseme..kwa maana nyingine nguvu ya kujenga uchumi inasimama kisa mpira..hata kama mtu alikuwa na appointment ya kumsaidia kujikwamua kimaisha yuko tayari kukosa lakini mpira aangalie kwenye T.v,Nimeweza kupita katika nchi tofauti lakini sijaona shida kubwa inaonekana kwa sasa Tanzania.Hata wapenzi wampira katika bara la ulaya wako na ratiba kwanza ya kutafuta pesa then mpira baadaye na anakuwa najua ratiba yake ikoje kwanza kama ataweza kuangalia mpira au la!.Premier legue kwa sasa inasababisha hadi ndoa kuwa kwenye matatizo mwanaume akiondoka ndiyo hivyo tena..

Sasa kwa maisha haya tunayoishi Tanzania tutaacha kupigana mizinga kweli??

Official Site of the Premier League - Barclays Premier League News, Fixtures and Results
 
ebana .. upuuzi gani huu umeandika.. wewe ulitaka tufanyaje kama kuna tofauti ya masaa.. mipira dakika 90 tu! & its only on weekends nini mbaya baana
 
Nahisi ulikuwa na lingine zaidi ya hili ukizingatia leo yenyewe hii j2 ya barclays basi ucpime

kama vipi funguka kaka
 
Ni mda sasa tangu ligi kuu ya Barclays Premier Legue ianze..kinachonishangaza na kunisikitisha ni pindi mechi inavyochezwa kila kitu Tanzania kinasimama vijana wa vijiweni ndiyo usiseme..kwa maana nyingine nguvu ya kujenga uchumi inasimama kisa mpira..hata kama mtu alikuwa na appointment ya kumsaidia kujikwamua kimaisha yuko tayari kukosa lakini mpira aangalie kwenye T.v,Nimeweza kupita katika nchi tofauti lakini sijaona shida kubwa inaonekana kwa sasa Tanzania.Hata wapenzi wampira katika bara la ulaya wako na ratiba kwanza ya kutafuta pesa then mpira baadaye na anakuwa najua ratiba yake ikoje kwanza kama ataweza kuangalia mpira au la!.Premier legue kwa sasa inasababisha hadi ndoa kuwa kwenye matatizo mwanaume akiondoka ndiyo hivyo tena..

Sasa kwa maisha haya tunayoishi Tanzania tutaacha kupigana mizinga kweli??

Official Site of the Premier League - Barclays Premier League News, Fixtures and Results

title yako inakulinda haya mtafutaji..
 
Hujajua ni kwanin ligi ya wenzetu mech zinachezwa weekend ni siku ya mapumziko ni kurelax,kupumzisha akili, kujumuika na different pple kula wkend. Unaweza ukafanya kaz j3-jpili lkn still upepo ukakuendea vibaya
 
Hupaswi kusamehewa kwa upupu huu, watanzania wangapi uliwahoji wakakwambia kuangalia mpira haikuwa kwenye ratiba zao, hata hivyo w/end unataka wakapumzikie wapi? au wewe ni shabiki wa MancheSITA unataka kupoza hasira zako, pole sana.
 
Ni mda sasa tangu ligi kuu ya Barclays Premier Legue ianze..kinachonishangaza na kunisikitisha ni pindi mechi inavyochezwa kila kitu Tanzania kinasimama vijana wa vijiweni ndiyo usiseme..kwa maana nyingine nguvu ya kujenga uchumi inasimama kisa mpira..hata kama mtu alikuwa na appointment ya kumsaidia kujikwamua kimaisha yuko tayari kukosa lakini mpira aangalie kwenye T.v,Nimeweza kupita katika nchi tofauti lakini sijaona shida kubwa inaonekana kwa sasa Tanzania.Hata wapenzi wampira katika bara la ulaya wako na ratiba kwanza ya kutafuta pesa then mpira baadaye na anakuwa najua ratiba yake ikoje kwanza kama ataweza kuangalia mpira au la!.Premier legue kwa sasa inasababisha hadi ndoa kuwa kwenye matatizo mwanaume akiondoka ndiyo hivyo tena..

Sasa kwa maisha haya tunayoishi Tanzania tutaacha kupigana mizinga kweli??

Official Site of the Premier League - Barclays Premier League News, Fixtures and Results
You need the Holy Spirit.....
 

..ahahahahaha...e bana ee si alishaomba msamaha kwenye title?...hahahaha!
hahahah, swahiba, sijamhukumu nimemshauri baada ya kupokea radhi yake!!!

LOL... sijui amefanya analysis kwa sample ipi aisee
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Ni mda sasa tangu ligi kuu ya Barclays Premier Legue ianze..kinachonishangaza na kunisikitisha ni pindi mechi inavyochezwa kila kitu Tanzania kinasimama vijana wa vijiweni ndiyo usiseme..kwa maana nyingine nguvu ya kujenga uchumi inasimama kisa mpira..hata kama mtu alikuwa na appointment ya kumsaidia kujikwamua kimaisha yuko tayari kukosa lakini mpira aangalie kwenye T.v,Nimeweza kupita katika nchi tofauti lakini sijaona shida kubwa inaonekana kwa sasa Tanzania.Hata wapenzi wampira katika bara la ulaya wako na ratiba kwanza ya kutafuta pesa then mpira baadaye na anakuwa najua ratiba yake ikoje kwanza kama ataweza kuangalia mpira au la!.Premier legue kwa sasa inasababisha hadi ndoa kuwa kwenye matatizo mwanaume akiondoka ndiyo hivyo tena..

Sasa kwa maisha haya tunayoishi Tanzania tutaacha kupigana mizinga kweli??

Official Site of the Premier League - Barclays Premier League News, Fixtures and Results


Nionavyo mimi your main objective umetaka utwambie kuwa umetembea nchi nyingi(sijui ngapi?)
But this isn't uor concern, hiyo inakuhusu wewe na mme/mke wako. OK, wewe ni mtafutaji, vipi unalinaga na Bill Gates.
Hebu ondoka hapa usituletee uchuro wako.

Kama vipi kakojoe ukalale.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom