ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,568
- 44,779
- Thread starter
- #61
Mkuu umemalizaSifa za wapemba
-wanadini sana na wanaheshimu sana dini waisilamu wote.
-wanajua kuishi na kila mtu popote wao kambi
-wanajua biashara sana mchaga asubili( ila lazima atumie na madudu kwenye biashara nasisitiza lazima)
-Wakarimu sana.
-wanawake wao wazuri tatizo chura hakuna.
Mabaya yao.
-wabaguzi balaa yaani aijalishi uwe kafiri au muisilamu mwenzao kama sio mpemba ww ni kafiri tu
-wazee wa majini balaa hakuna anachofanya bila kutumia madude yao.
-mabishi sana na misimamo mikali sana hata kama hayupo sahihi akiamini anachoamini hayumbi.