As Salafiyyu91
JF-Expert Member
- Jan 11, 2014
- 2,537
- 2,526
Sio kweli Sema wanazaa sana hata msukuma haoni ndani Mpemba ndani ya miaka 10 anaweza kuwa na watoto tisa au zaidi kama akiwa amezaa na mapacha jamaa huwa wanazaa kila mwaka
Sio kweli Sema wanazaa sana hata msukuma haoni ndani Mpemba ndani ya miaka 10 anaweza kuwa na watoto tisa au zaidi kama akiwa amezaa na mapacha jamaa huwa wanazaa kila mwaka
Hiyo ina majina mengi wenyewe wanaitwa kukoroga zege/matope hapo hamuwasingizii ni kweli 100%Sifuri maanake jicho,tigo,..kama na hapa hujaelewa hutaelewa tena
duu ww jamaa wwNilinunua Mkate kwa mpemba nil8kuta sijui unanuka ma Udi sijui mauseng*e gani nikawapa kuku wakala
Fanya utafiti mkuu utaliona hili
Nachukua nafasi hii adhimu kuwataka radhi wazee wa sefuliMkuu umewatweza wenzio hawa jamaa sio Sifuri bhana ni Magenious sana Uingereza wamejaa kibao huko ni Madokt na Malecturers watake radhi bhana
Tatizo ni wakabila Sana .ilo tatizo ni kubwa Kwa KwelikweliHawa majamaa Wana roho nzuri Sana kwanza katika biashara wanauza bidhaa zao kwa Bei nafuu kuliko Wafanyabiashara wengine
Kingine wapemba Ni wakarimu Sana wanapenda ufanikiwe Wana ushauri mzuri Sana na hawana tamaa Wala roho mbaya
Kingine wanaishi maisha simple Sana wengi wao Ni watu wa dini wachaMungu hawanywi pombe.
Ishi nao vizuri utafaidika Sana usijaribu kumwibia mpemba kwani yatakukuta.
😂wana roho za kitajiri sana hawa jamaa, wako friendly sana hasa ukiwakuta wale waliopiga shule kidogo.Nikweli mkuu,kuna mmoja alinisaidia sana kipindi cha nyuma,Anakukopesha hata mwaka mzima hana habari,hakuulizi,yeye anasema usipomlipa duniani,utamlipa akhera.
Hapana.
It took me time to understand. Umetishahalafu ni wazee wa sufuli...
Codes...It took me time to understand. Umetisha
kweli hao jamaa wanaroho nzuri lakini usije ukamzingua tu hamna rangi utaacha kuone ujueHawa majamaa Wana roho nzuri Sana kwanza katika biashara wanauza bidhaa zao kwa Bei nafuu kuliko Wafanyabiashara wengine
Kingine wapemba Ni wakarimu Sana wanapenda ufanikiwe Wana ushauri mzuri Sana na hawana tamaa Wala roho mbaya
Kingine wanaishi maisha simple Sana wengi wao Ni watu wa dini wachaMungu hawanywi pombe.
Ishi nao vizuri utafaidika Sana usijaribu kumwibia mpemba kwani yatakukuta.
Hahaha jamaa wanapenda "JICHO" aka "NUCTA".halafu ni wazee wa sufuli...
Ina maana wote walipata divisheni zero fomfoo?halafu ni wazee wa sufuli...
Ww ushagawa tigo unakuja kujisafisha hapa..
Tutake radhi yakhee hizo ni kashfahalafu ni wazee wa sufuli...
Duh!Nililala na mwanamkw mchawi mwenye majini ndo sembuse kula mkate mimi nakula Faza.