Wapemba Ni watu poa sana

Hawa majamaa Wana roho nzuri Sana kwanza katika biashara wanauza bidhaa zao kwa Bei nafuu kuliko Wafanyabiashara wengine
Kingine wapemba Ni wakarimu Sana wanapenda ufanikiwe Wana ushauri mzuri Sana na hawana tamaa Wala roho mbaya
Kingine wanaishi maisha simple Sana wengi wao Ni watu wa dini wachaMungu hawanywi pombe.
Ishi nao vizuri utafaidika Sana usijaribu kumwibia mpemba kwani yatakukuta.
Tatizo ni wakabila Sana .ilo tatizo ni kubwa Kwa Kwelikweli
 
Nikweli mkuu,kuna mmoja alinisaidia sana kipindi cha nyuma,Anakukopesha hata mwaka mzima hana habari,hakuulizi,yeye anasema usipomlipa duniani,utamlipa akhera.
😂wana roho za kitajiri sana hawa jamaa, wako friendly sana hasa ukiwakuta wale waliopiga shule kidogo.
 
Hawa majamaa Wana roho nzuri Sana kwanza katika biashara wanauza bidhaa zao kwa Bei nafuu kuliko Wafanyabiashara wengine
Kingine wapemba Ni wakarimu Sana wanapenda ufanikiwe Wana ushauri mzuri Sana na hawana tamaa Wala roho mbaya
Kingine wanaishi maisha simple Sana wengi wao Ni watu wa dini wachaMungu hawanywi pombe.
Ishi nao vizuri utafaidika Sana usijaribu kumwibia mpemba kwani yatakukuta.
kweli hao jamaa wanaroho nzuri lakini usije ukamzingua tu hamna rangi utaacha kuone ujue
 
Sifa za wapemba
-wanadini sana na wanaheshimu sana dini waisilamu wote.
-wanajua kuishi na kila mtu popote wao kambi
-wanajua biashara sana mchaga asubili( ila lazima atumie na madudu kwenye biashara nasisitiza lazima)
-Wakarimu sana.
-wanawake wao wazuri tatizo chura hakuna.

Mabaya yao.
-wabaguzi balaa yaani aijalishi uwe kafiri au muisilamu mwenzao kama sio mpemba ww ni kafiri tu
-wazee wa majini balaa hakuna anachofanya bila kutumia madude yao.
-mabishi sana na misimamo mikali sana hata kama hayupo sahihi akiamini anachoamini hayumbi.
 
Back
Top Bottom