Alwaz
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 7,126
- 10,841
- Thread starter
- #21
Hapo umeshikilia maana unayoifahamu wewe kama ulivyosoma kwenye biblia pamoja na kwamba biblia si kamusi la Kiswahili.Pamoja ha hivyo tunaowakusudia ni watu hao hao ambao kati ya 100 yawezekana 99 roho zao hazina ubinadamu na mateso ya watu wengine ndio furaha kwao.Daima huwa wana njama za muda mrefu ujao kujiweka juu ya wenzao hata kwa gharama za kuuwa binadamu wenzao.Ubishi mwingine haujawahi kuwa na maana hata kidogo.
.
Wamtumainio Bwana ni kama mlima Sayuni hawatatikisika milele na milele(Zaburi.125).
.
Furahini, basi, enyi wana wa Sayuni, mkamfurahie Bwana, Mungu wenu; kwa kuwa yeye huwapa ninyi mvua ya masika, kwa kipimo cha haki, naye huwanyeshea mvua, mvua ya masika, na mvua ya vuli, kama kwanza.
Yoeli 2 :23
Nipe tafsiri ya neno Zayuni au Wazayuni na uniambie linapatikana katika kamusi gani waislamu always ni haters wa watu wasio amini mnachoamini nyinyi.
Biblia hiyo ya kiswahili inaita Sayuni/ wana sayuni na kuna mabinti kibao hujawahi kukutana nao wanaitwa sayuni au unaishi pemba?
Koran pekee na waislamu ndio huita Mazayuni/Zayuni nashangaa wewe kimekupata nini umeboresha kidogo (WAZAYUNI) ๐๐