Wapangua ''Vizinga'' tupeane mbinu mbalimbali

Unajibu tu sina hela, basi. Ukijibu hivyo atajua una hela ila hutaki kumpa kwa hiyo kwa ethics za taaluma yao atajiongeza.

Hapo kwa watoto wa bweni/vyuoni kama unazungumzia hawa wa kuwazaa, mzinga haukwepeki. Mzazi ukiwa mkoloni mtoto anakupiga kwenye michango hewa.
 
Na vijana akijua umesoma anakuchapa kizinga kisomi hadi ukija shituka unabaki kujipongeza Ni bao langu saa nifanyaje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…