Hakuna mganga anaeweza kukupa utajiri ikiwa ni mafanikio unayo mwenyewe ikiwa ni nuksi unazo mwenyewe jitafute kujieka sawa#wakuu katika harakati zakutafuta maisha__nishahangaika sana (mm naishi dar) nataka nicheki upande wapili (naitaji mganga konki kabisa atakaeweza kunipatia utajiri ) mwenye connection plz naomba tuwasiliane mana maisha yabongo nimagumu sanaaa..! (Nataka mtaalam konki kabisa yan aliebobea kwenye kazi hizo sitaki hawa wanaosema toa laki tano ) __mdau yeyote anayejua anapopatikana mtu wahivyo naomba tuelekezane plz
Hahahha kuna mshua anasali sali sana, nae ni Mkwasi kiasi ila ndio huo ukwasi wa mang'amu ng'amu alitaka kuhalalisha hizo pesa.Hahahah ile ni nini mkuu? Mbona ni noti za misimbazi tu zile
Mwamba image sehem gan namba 1 au 2 au 3 au 4 au 7 au 8...makanyaga auNaamini ukifika Njombe ukiulizia tu Nyumbanitu wadau watajua unachohitaji watakuelekeza namna ya kufika huko ukakutane na ule wa punje.
Au kama huo huutaki fika Image-Kilolo Iringa kuna fundi mmoja nahofia hata kumtaja hapa asije nigeuza tumbili.
Ukishindwa kwa huyo fundi wa kilolo sogea mpaka Songwe,Sogea mpaka hapo Mpemba kutana na jamaa anaitwa Shikunzi atakuvusha upande wa pili,nchi jirani kuna mtaalam wake atakupa ule wa Kidonda sugu.
Ukishindwa huko kote njoo PM nikupe mawasiliano ya mwanangu Matthew yuko Makambako hapo akupeleke kwa Mafundi wake wa Congo huko.
Majani ya Mitiki😅Hahahha kuna mshua anasali sali sana, nae ni Mkwasi kiasi ila ndio huo ukwasi wa mang'amu ng'amu alitaka kuhalalisha hizo pesa.
Basi wakashauriana na mkewe wakaziombee hizo pesa zao,wakafanya kama kutest mitambo wakadraw kama M100 wakasogea nazo church.
Ile wamepiga magoti na mkewe,mzee kasika bag la hela. Mchungaji kuweka tu mkono kichwani kwa huyo Mkwasi jamaa aliruka mithili ya chura wa Kihansi,bag la pesa kule!!! Yakaanza kutoka kama yale majani ya miti mapana yalokauka yakipepe hewani na kutokomea mpaka bag linabaki tupu.
This is true story!!
HahaaaIla sikushauri kabisa ukaichukue ile pesa,pesa ya ndagu ni ya moto Kaka.
Kuna mwamba yeye kila jumatatu,jumatano na ijumaa lazima akakalie pembe la ng'ombe special room.

Kila la kheri mkuuKwan upambanaji upoje
Mpambanaji anataka mchawi konki sio tu mchawi bali awe konkiiiiiiMpambanaji unataka short_ cut

Mpambanaji anataka mchawi konki sio tu mchawi bali awe konkiiiiii![]()



Hujaweka masharti sasa atajuaje kama anaweza ama?!Kuna mganga mmoja wa kweli. Ila masharti yake sasa! Utayaweza? Kama unadhani utayaweza niambie nikuelekeze.
Piga kazi za saidia fundiMtaji napata wapi
Dah ... upo vzri mkuuuNaamini ukifika Njombe ukiulizia tu Nyumbanitu wadau watajua unachohitaji watakuelekeza namna ya kufika huko ukakutane na ule wa punje.
Au kama huo huutaki fika Image-Kilolo Iringa kuna fundi mmoja nahofia hata kumtaja hapa asije nigeuza tumbili.
Ukishindwa kwa huyo fundi wa kilolo sogea mpaka Songwe,Sogea mpaka hapo Mpemba kutana na jamaa anaitwa Shikunzi atakuvusha upande wa pili,nchi jirani kuna mtaalam wake atakupa ule wa Kidonda sugu.
Ukishindwa huko kote njoo PM nikupe mawasiliano ya mwanangu Matthew yuko Makambako hapo akupeleke kwa Mafundi wake wa Congo huko.
Mzee ukisha nasisha yai na likipasukia hapo c inatengeneza utelezi pale kwenye jicho au lengo lako niniKuna mmoja wa kunasisha yai kwenye mnduku halafu linapasuliwa. Unakua na hela punda habebi