Hata ingekua nyingi kiasi gani hakikisha unaitumia mpaka inaisha,kwa kifupi pesa ya leo isikutane na ya kesho.Dah unatumia hela hio kula au kufanyaje sasa na vipi kama ni nyingi sanaau inakuwa ndogo?
Ila sikushauri kabisa ukaichukue ile pesa,pesa ya ndagu ni ya moto Kaka.Kwa hali ilivyo sasa wapambanaji wengi watajilipua tu akyanani maana maisha ya kusindikiza wengine magumu sana
Hata ingekua nyingi kiasi gani hakikisha unaitumia mpaka inaisha,kwa kifupi pesa ya leo isikutane na ya kesho.
Hao wengi wao ndio wale wazee wa "funga mlango,kila alie humu ndani leo bili juu yangu",jambo la kushangaza yeye hanywi.
Sahihi kabisa,yani hizi pesa kwa namna yoyote ile lazima zihusisue kafara ya damu. Wengi hujipa moyo kwa zile kauli za "Kama una kumi Ua mmoja tisa waishi vyema", jambo ambalo si kweli kwasababu time ikifika ni lazima utatakiwa kufyeka mwingine. Mwisho wa siku hata hao 9 walobaki nao utajikuta umewamaliza wote.Daah pole sana.. izo mambo ngumu sana mkuu mwanzoni watakwambia kafara kuku,mbuzi au ng’ombe ila panapoendelea wanakuchangea achana na izo mambo tafuta jembe au bahari pesa zipo maeneo hayo
Magari utanunua,Majumba utajenga,utamiliki hata hotels, Petrol stations,n.k. Ila bado utaishi kama mfungwa.Ila vitu kama magari na vinginevyo siunanunua ama nikula tu..?
Hahahahahah mammk walai😅Hata ingekua nyingi kiasi gani hakikisha unaitumia mpaka inaisha,kwa kifupi pesa ya leo isikutane na ya kesho.
Hao wengi wao ndio wale wazee wa "funga mlango,kila alie humu ndani leo bili juu yangu",jambo la kushangaza yeye hanywi.
😅😅😅😅😅😅😅Mimi ndo mganga wa kilolo nasoma comment zenu kesho nina waroga wote na kuwaingilia kwa mpalange dadadeq
Sawa,kumbe wewe ndie Fundi M*k*ny*...?Mimi ndo mganga wa kilolo nasoma comment zenu kesho nina waroga wote na kuwaingilia kwa mpalange dadadeq


Kuna Mkwasi mmoja hapo Southern Highlands ana pesa nyingi sanaa ila ya moto,jamaa hatakiwi kujisaidia katika choo kingine zaidi ya kile choo special alichojijengea ndani ya jumba lake.
So jamaa hajawahi kushiriki msiba wowote wa ndugu zake huko kijijini kwao,wala hajawahi kutoka nje ya maeneo/mji ule.
Sasa ndugu yangu hiyo ni pesa au utumwa??
Sahihi Kaka,alafu kiuhalisia ile sio pesa MkuuMzee unajua kinacho cost watu wengi ni kuwa ule ushamba na tamaa ya pesa ila amini kwamba ingetokea ukapewa mill.200 tu za kuspendi na facility zote kama ma V8 na magari kadhaa ya kutesea mjini kama zawadi ukala maisha pesa ikaisha usingeweza kuwa na guts hata siku moja za kukimbilia utajiri wa magumashi sababu ushamba na pesa unakuwa huna.
Washamba wa pesa na ulimbukeni ndio wana ujasiri wa kujitoa muhanga hivyo
Hahahah ile ni nini mkuu? Mbona ni noti za misimbazi tu zileSahihi Kaka,alafu kiuhalisia ile sio pesa Mkuu
Mkuu hawawezi kukuweka wazi masharti yao,ila tambua hakuna pesa rahisi hata siku moja.Ila miaka hii zipo njia ambacho haziumizi sana kama miaka yazamani__kuna watu wanapesa zamoto nawajua kabisa ila kila starehe wanafanya yan wapo kama walivyo watu wengine (misibani wanaenda yan chochote anafanya) tatizo hawezi kukupa connection
Zile pesa hata ukikopa ukafanyie jambo lako la msingi hutoweza kulifanya zaidi ya kubaki na madeni sugu. Wale wapuuzi ni hatari,unaweza kukopa hata laki 2 tu ikakusumbua kulipa mpaka ukanyang'anywa kitu cha million.Hahahah ile ni nini mkuu? Mbona ni noti za misimbazi tu zile