a sinner saved by Christ
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 3,349
- 3,834
- Thread starter
- #21
Vita vyetu si cya damu na nyama..
2 Nya 20:15 SUV
kwani vita si yenu bali ni ya Mungu.
Rum 12:19
Wapenzi, msijilipize kisasi, bali ipisheni ghadhabu ya Mungu; maana imeandikwa, Kisasi ni juu yangu mimi; mimi nitalipa, anena Bwana.
Ni KWELI vita si vya vyetu sisi bali ni vya Mungu mwenyewe na Tena vita vyenyewe si juu ya mwili na damu bali ni juu ya waflme WA Giza,majeshi ya mapepo wabaya, my akuu WA anga,waflme WA giza,wenye mamlaka WA Giza,ambayo vita hivyo BWANA ATATUPIGANIA NASI TUTANYAMAZA KIMYA,na Tena BWANA ATALIPA KISASI ,mana Hukumu ya Mungu ni ya HAKI,HUKUMU NA KISASI NI JUU YA BWANA MUNGU WA MAJESHI.