Aiseeee!
Hatariii, hivi symbols zipi natumia kuonyesha ishara kuwa napiga mluzi?? tafadharini.
Hizo ngozi tu mi hoi, paja, sura, smile, duh! mna uhakika ni wanyarwanda hao?? nisije nikaenda nikakuta mambo tofauti!!
!
!
Hapa ndion inaoneza kuelezeka zaidi ile myth ya tofauti ya muda katika uumbaji. Hawa wameumbwa kati ya Jummanne na Jumatano, ambapo muumbaji alikuwa hana uchovu wa weekend na katuliza akili kwani weekend nyingine ipo mbali kidogo. Ukitaka kujua alioumbwa ijumaa kaka ni maeneo ya mbeya na mwanza huko, muumbaji alikuwa anamalizia udongo, watu wakubwa mno lakini shape ndio mtiti.