Wanyakyusa wenzangu mnanikumbuka?

Ralphryder

JF-Expert Member
Nov 16, 2011
4,933
1,294
Najua umenisahau. Naitwa Andekelile Lupakisyo Ambindwile Mwambalakata mtoto wa Afwelile Ambwene Mwakisujeje Mwakasokela anko yake na Asangalwisye Mwalunyasyo rafiki wa Bakangana Bukenja Bukomile na nduguye Mwamakimbula Bkunnyasya, nimesoma na Bankalalile Ngupasya ifyaitolo Fikufyuka.
Je,
wanikumbuka?
 
Acha upuuzi unamdanganya nani??? wakati wewe ni Tupilike Aswile yule wa Isobhobho karibu na Bakenja bakajha bheghi Kaka yake Fikupya Mundeko wa Mbanyakatefu.
 
Acha upuuzi unamdanganya nani??? wakati wewe ni Tupilike Aswile yule wa Isobhobho karibu na Bakenja bakajha bheghi Kaka yake Fikupya Mundeko wa Mbanyakatefu.

teh teh teh! Umenibamba!
 
Aaah! Wewe sio mwafilombe, yule ndugu yake na mwakikuti anayekaa karibu na anosisye kbla ya mwandamba
 
teh teh teh! Umenibamba!

Mimi huwa sidanganywi kijingajinga, kuna siku moja naye Mbilike Isyamwalo akawa anataka kunidanganya kwamba Mbiki Nsumi ni Mnyakyusa nilimbishia aliyekuja kutufafanulia ni Mzee Lukama Lwakipiki.
 
Najua umenisahau. Naitwa Andekelile Lupakisyo Ambindwile Mwambalakata mtoto wa Afwelile Ambwene Mwakisujeje Mwakasokela anko yake na Asangalwisye Mwalunyasyo rafiki wa Bakangana Bukenja Bukomile na nduguye Mwamakimbula Bkunnyasya, nimesoma na Bankalalile Ngupasya ifyaitolo Fikufyuka.
Je,
wanikumbuka?

Haswaaa, wewe si babu yako ni Ambwene Kakumisi Mwasakafyuka na bibi yako Sinyeng'enye Bhikonkoma Kumaso
 
Mimi huwa sidanganywi kijingajinga, kuna siku moja naye Mbilike Isyamwalo akawa anataka kunidanganya kwamba Mbiki Nsumi ni Mnyakyusa nilimbishia aliyekuja kutufafanulia ni Mzee Lukama Lwakipiki.

aha si yule kaka yake na Mwakasangula, mjukuu wa mzee Mwaipaja!
 
Acha upuuzi unamdanganya nani??? wakati wewe ni Tupilike Aswile yule wa Isobhobho karibu na Bakenja bakajha bheghi Kaka yake Fikupya Mundeko wa Mbanyakatefu.

Kwenye hizo red ndiyo huwa nakwazika sana mkuu.
Nadhani hicho ni sawa na Fire uandike Faya, Mother=Maza, School=Skuul, Life=Laifu n.k
Ni aina ya maandishi ya kinyakyusa ambacho kimeanza kutumika na watu kadhaa mwishoni wa miaka ya tisini, lakini katika katika.
Matumizi ya ya maandishi ya aina hiyo katika red ni ya Ki-dictionary zaidi, yaani kulezea kuwa yanatamkwaje kwa sauti.
kinyakyusa asili huandikika kama kilivyo na kusomeka kama ilivyo kati hizo reded.

Mfano -
Andika - Tamka

Isobobo = Isobhobho

Bakaja Begi = Bhakaja bheghi

Baba = Bhabha

Gwamaka = Ghwamaka

N.k.
Nawasilisha
 
Mimi huwa sidanganywi kijingajinga, kuna siku moja naye Mbilike Isyamwalo akawa anataka kunidanganya kwamba Mbiki Nsumi ni Mnyakyusa nilimbishia aliyekuja kutufafanulia ni Mzee Lukama Lwakipiki.

Muone!!!Sura kama avatar yako!!!
 
Kwenye hizo red ndiyo huwa nakwazika sana mkuu.
Nadhani hicho ni sawa na Fire uandike Faya, Mother=Maza, School=Skuul, Life=Laifu n.k
Ni aina ya maandishi ya kinyakyusa ambacho kimeanza kutumika na watu kadhaa mwishoni wa miaka ya tisini, lakini katika katika.
Matumizi ya ya maandishi ya aina hiyo katika red ni ya Ki-dictionary zaidi, yaani kulezea kuwa yanatamkwaje kwa sauti.
kinyakyusa asili huandikika kama kilivyo na kusomeka kama ilivyo kati hizo reded.

Mfano -
Andika - Tamka

Isobobo = Isobhobho

Bakaja Begi = Bhakaja bheghi

Baba = Bhabha

Gwamaka = Ghwamaka

N.k.
Nawasilisha

Ogho!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom