Wanyakyusa wenzangu mnanikumbuka?

Wanyakyusa wenzangu mnanikumbuka?

Najua umenisahau. Naitwa Andekelile Lupakisyo Ambindwile Mwambalakata mtoto wa Afwelile Ambwene Mwakisujeje Mwakasokela anko yake na Asangalwisye Mwalunyasyo rafiki wa Bakangana Bukenja Bukomile na nduguye Mwamakimbula Bkunnyasya, nimesoma na Bankalalile Ngupasya ifyaitolo Fikufyuka.
Je,
wanikumbuka?

Mmh, majina ya Kinyakyusa, utafikiri dawa za miti shamba!!!!!:lol:
 
Mi nakukumbuka mwe,ww si mtoto wa Ambilikile Mwaisapile wa loliondo.
 
Ngubhaponya
Jone silepa nnino kana kajoka mwisukulu gwa mwamafupa gwakumbangamojo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom